Kadhi courts has no place in the constitution

ha ha ha ha ha confusion usipime na huu ni mwanzo tu, je ikianzishwa si ndio hivyo vidole vitaisha kwakukatwa ha ha ha ha katiba pendekezwa forever,Nonchance for Kadhi court! Ha ha ha ha
In fact, KAZI COURT is SATANIC and for Lucifer's worshipers.

 
Mbona mizengwe pinda anashandadia lakini.. Yaani amewagawa hadi wabunge mle ndani...
 
Allah anadai kuwa Aliteremsha Injil kabla ya Quran. Sasa tuonyeshe ipo wapi hiyo Injil. Sina muda wa kusoma Quran na kuuita Injil. Au kulani siku hizi imekuwa ni Mkusanyiko wa Vitabu kama Biblia ya Wakristo?

Injil mnayo au hamna?

Wewe mwenyewe huna na hujui kama huna ! Humo kwenye Biblos kuna Injil ya Mathayo, Luka, Yohana, Marko na ya Yesu hamna !...upo Mgala Ishmael ? aka TanzaniaLaw
 
Last edited by a moderator:
Waambie wanao taka kuweka dini kwenye KATIBA na sio MIMI.


Ingekekuwepo hii adhabu, wakati huu Kilaini na Nzingirw hawana mikono !...........na wale woote washirika wa Escrow.
Akina Ngeleja wanasema nyingine walipeleka Kanisani.
Ishmael

Waislaam wanaogopa wizi, ndio mana kwenye Escrow hakuna Muislaam !
 
Last edited by a moderator:
Ingekekuwepo hii adhabu, wakati huu Kilaini na Nzingirw hawana mikono !...........na wale woote washirika wa Escrow.
Akina Ngeleja wanasema nyingine walipeleka Kanisani.
Ishmael

Waislaam wanaogopa wizi, ndio mana kwenye Escrow hakuna Muislaam !

Acha hizo wewe !!
 
 


Ally Kombo umejitahidi kutuelewesha kupitia picha lakini hujasema hicho kifungu wanachokipigania kiko wapi kwenye katiba Pendekezwa????mi nachojua KAtiba Pendekezwa imeweka wazi masuala ya dini kwenye ibara ya 41 SERIKALI HAITAJIHUSISHA WALA KUGHARAMIA UENDESHAJI WA TAASISI NA SHUGHULI ZA DINI.
 
very pity!!


duuuu nyie watu hii nini hiki jamani?watanzania tu wamoja,tupendani licha ya tofauti zetu,tujaliane hayo mambo ya migogoro ya dini yapishe mbali maana sisi sote ni wana wa adam!!! Katiba pendekezwa tutakayoipigia kura ukisoma sura ya 1, ibara ya 5 imeweka vizuri kabisa ujenzi wa jamii ya kistaarabu.

Pitieni ibara hiyo bhana msome,afu tuelewane.
 
Wewe mwenyewe huna na hujui kama huna ! Humo kwenye Biblos kuna Injil ya Mathayo, Luka, Yohana, Marko na ya Yesu hamna !...upo Mgala Ishmael ? aka TanzaniaLaw


ACHENI HIZO BHANA MBONA MLIKUA MNAONGEA VIZURI NYIE? Aaaaaaaa NANI AMEINGIA HAPA KATIKATI AKAWALOGA HATA MNAANZA KUTAMBIANA DINI IPI NI NZURI? MNAANZA KUTUBOA SASA WANA JF, MAMBO YA DINI YASILIGAWE TAIFA NA HILI WANANCHI HAWAKUBALI KAMA MMECHOKA KUISHI TZ MTUPISHE NA MTU ACHIE NCHI YETU YA MHE. NYERERE,MWINYI, MKAPA NA JAKAYA KIKWETE.
 
Ingekekuwepo hii adhabu, wakati huu Kilaini na Nzingirw hawana mikono !...........na wale woote washirika wa Escrow.
Akina Ngeleja wanasema nyingine walipeleka Kanisani.
Ishmael

Waislaam wanaogopa wizi, ndio mana kwenye Escrow hakuna Muislaam !
Pole sana kwa kujidanganya. Hivi ulisha soma visa vya Mtume wenu Muhammad?
 
Wewe mwenyewe huna na hujui kama huna ! Humo kwenye Biblos kuna Injil ya Mathayo, Luka, Yohana, Marko na ya Yesu hamna !...upo Mgala Ishmael ? aka TanzaniaLaw
Ukisha maliza kutapika Sabuni ya Omo uliyo meza, nionyeshe wapi ilipo Injil aliyo teremsha Allah.

Wewe hujui kwanini kuna forth gospel and who were the recipient. Wewe unaangali Alimasi upande mmoja halafu unasema ipo sawa au lah. Hakika nyie ni vipofu wenye chongo kwenye nyoyo zenu.
 

Haya ndio madhara ya mahakama ya kadhi yawapatayo raia wa somalia katika majimbo yanayoshikiliwa na magaidi wa Al-shabaab

we don need this kind of court in our country Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…