TanzaniaLaw
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 1,298
- 482
- Thread starter
-
- #161
Katiba mpya ilipaswa iwe na mambo yafuatayo:
(1)Amri kumi zilizotolewa na Mungu kwa wanadamu wote.Huu ndio msingi wa sheria zote ikiwemo katiba .
(2)Ubatizo.
(3)Mahakama ya kadhi.
Pia Katiba Itamke kuwa Tanzania ni nchi ya watu wenye dini na imani tofauti.Hivyo basi serikali haitafungamana na dini yoyote.
Au itamke kuwa Tanzania ni nchi isiyo na dini rasmi/maalum.
Kusema kuwa Tanzania ni nchi isiyo na dini ni uongo kwani dini zipo tanzania na zilikuwepo hata kabla ya serikali ya Tanzania na ya mkoloni.
1. Ten commandments will be okay since Muslims claim that Allah is the same God of Moses although there is no Ten Commandment in their weak and un Godly book.
2. Kadhi Court, "NO". Even in their book, Allah never mention said Court. It is a man's made diabolical court.
3. Ubatizo, "YES" Since they claim that Isa is Jesus. The funny part is this. Isa of the Quran was never baptized, unfortunately, Isa is not Jesus.