Kadhi courts has no place in the constitution

Kadhi courts has no place in the constitution

Mataifa ya kikafiri yanaungana kuwauwa waislamu pale iraq ili wapate kuwaibia rasilimali zao.
Isis haigombani na marekani wala Uk ,wanapigana waarabu wenyewe .wao hayawahusu,lakini kuuwa ndio kiu ya makafiri hasa kuuwa waislamu.
Kikataa MAHAKAMA ya KADHI ni Ukafiri tuu unawasumbua.
 
Mataifa ya kikafiri yanaungana kuwauwa waislamu pale iraq ili wapate kuwaibia rasilimali zao.
Isis haigombani na marekani wala Uk ,wanapigana waarabu wenyewe .wao hayawahusu,lakini kuuwa ndio kiu ya makafiri hasa kuuwa waislamu.
Kikataa MAHAKAMA ya KADHI ni Ukafiri tuu unawasumbua.

Why do you think Kadhi court is important?
 
Lkn ni sawa Kuwaadhibu waislamu kwa kufuata Sheria mahakama za mkoloni aliyetuletea UGALATIA hapa Nchini sio?

Lbd nikuulize kitu hapa. Manake wengi wenu hatta hamjui KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI.

Hapo juu umetaja habari ya mahkama ya kadhi KUTOA ADHABU Kana kwamba mahkama hii Ni SAWA NA MAHKAMA ZINGINE ZA KIEFESO!.

SWALI HILI HAPQ.
Je ! Unaweza kunitajia KAZI ZA MAHKAMA YA KADHI? au unabisha tu bila kuwa na Elimu yyt?

Shikamoo kahtaan
 
Teh teh teh teh!

Haleluyaaaah!

Wakatoliki lzm mumtafute MCHAWI WENU HAPA!

So is it TanzaniaLaw or waltham or kahtaan ??

The choice is yours mrs dagama!
No end of murders in the name of Muhammad and Allah

August 5, 2009 · by ivarfjeld · in endtimes, Israel. ·
There have never been a more deceptive religion than Islam. Still the Pope of Rome is willing to kiss the Koran, that has Jihad verses that tells faithful Muslims to murder and cripple people of other faiths.

Every day people are butchered by Muslims who are faithful to the Jihad verses in the Koran. Even Muslims murder their own brothers for the sake of the prophet Muhammad.
Here are fresh examples of the fruits of Islam:
The village of Gojra Pakistan:
No mercy, no love. Only killing in the name of Allah.

1st of August 2009:A Christian Pakistani has lost everything. Muslims came and put his family´s house on fire. Nine Christian killed, 50 houses burnt down, and 100 houses looted.
Those who have interfaith relationship with Muslims without using the opportunity to expose the fruits of this false and violent religion, will basically be held accountable for their participating in what is dark work of evil.

The Nigerian city of Bauchi:

No mercy, no love. Only killing in the name of Allah.


26th of July 2009: The Nigerian city of Bauchi. Muslims turns to violence. 39 non-muslims killed. 176 people arrested.
The Global lntifada is on, and its rapidly growing into a global disease. That Government of Western free and democratic states are supporting Islamic nations is a sign of spiritual blindness. The Price of this World has blinded them. To even think you can work together with Islam to bring peace and prosperity into this World, is a great and fatal deception.

The Islamic republic of Sudan, Darfur region:

One man alive. The rest are dead, killed by the soldiers of Islam

Ongoing genocide: The Islamic Government is behind a genocide of the basically non-Muslim tribal people of Darfur. No-one knows how many people have been murdered. May be as many as 200.000 dead. A thousand villages has been burnt, and there are presently three million refuges.
The suicide bombs of Bali:
Innocent tourists blown to pieces by a Islamic suicide bomber in Bali.

First of October 2005: The Bali bombings were two Islamic terrorist suicide bomb attacks. 20 tourists were slaughtered. 156 people wounded.
The Jewish Messiah Jesus, God the Son of God of Abraham, Isaac and Jacob is coming back. Who can stop Him?
This time He will not be coming as the Lamb of God, to pay a perfect atonement for our sins. Now he will come as the Lion of Judah. Behold, it is going to be the biggest shook you have ever had. Next, billions of people will be casted into the everlasting lake of fire. Thats were the Devil and all his children will spend the eternity.
Mosque bombs in Iraq:
This Muslim in Baghdad survived a suicide attack from a Muslim brother


Ongoing civil war: When the Shiite Muslims in Iraq marked their holiest day of the year bloody attacks on Mosques killed 36 people. Muslims are blowing up their own Mosques in the name of the Prophet Muhammad and Allah.
This is the truth about Islam. Do something about it today, so you do not end up as a part of this disaster.
Muslims who kill in the name of Islam is basically doing what the Koran demands from every Muslim. Slaughter those who do not want to submit to Sharia laws.​
[Sura 5:33]
«The just retribution for those who fight God (Allah) and His messenger (Muhammad), and commit horrendous crimes, is to be killed, or crucified, or to have their hands and feet cut off on alternate sides, or to be banished from the land. This is to humiliate them in this life, then they suffer a far worse retribution in the Hereafter».

It is your choice if you want to become a child of Jesus or a child of the father of all lies, the Devil.​
Jesus the Messiah said:
John 8:44
«You belong to your father, the devil, and you want to carry out your father’s desire. He was a murderer from the beginning, not holding to the truth, for there is no truth in him. When he lies, he speaks his native language, for he is a liar and the father of l
Edit Post Reply Reply With Quote Send PM

user-online.png
kahtaan

Today 14:25
#80
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 11th July 2009
Location : Ughaibuni
Posts : 10,522
Rep Power : 28387999
Likes Received4598
Likes Given2732



[h=2]
icon1.png
Re: Kadhi courts has no place in the constitution[/h]
quote_icon.png
By waltham
No end of murders in the name of Muhammad and Allah

August 5, 2009· by ivarfjeld· in endtimes, Israel
There have never been a more deceptive religion than Islam. Still the Pope of Rome is willing to kiss the Koran, that has Jihad verses that tells faithful Muslims to murder and cripple people of other faiths.

Every day people are butchered by Muslims who are faithful to the Jihad verses in the Koran. Even Muslims murder their own brothers for the sake of the prophet Muhammad.
Here are fresh examples of the fruits of Islam:
The village of Gojra Pakistan:
No mercy, no love. Only killing in the name of Allah.

1st of August 2009:A Christian Pakistani has lost everything. Muslims came and put his family´s house on fire. Nine Christian killed, 50 houses burnt down, and 100 houses looted.
Those who have interfaith relationship with Muslims without using the opportunity to expose the fruits of this false and violent religion, will basically be held accountable for their participating in what is dark work of evil.

The Nigerian city of Bauchi:

No mercy, no love. Only killing in the name of Allah.


26th of July 2009: The Nigerian city of Bauchi. Muslims turns to violence. 39 non-muslims killed. 176 people arrested.
The Global lntifada is on, and its rapidly growing into a global disease. That Government of Western free and democratic states are supporting Islamic nations is a sign of spiritual blindness. The Price of this World has blinded them. To even think you can work together with Islam to bring peace and prosperity into this World, is a great and fatal deception.

The Islamic republic of Sudan, Darfur region:

One man alive. The rest are dead, killed by the soldiers of Islam

Ongoing genocide: The Islamic Government is behind a genocide of the basically non-Muslim tribal people of Darfur. No-one knows how many people have been murdered. May be as many as 200.000 dead. A thousand villages has been burnt, and there are presently three million refuges.
The suicide bombs of Bali:
Innocent tourists blown to pieces by a Islamic suicide bomber in Bali.

First of October 2005: The Bali bombings were two Islamic terrorist suicide bomb attacks. 20 tourists were slaughtered. 156 people wounded.
The Jewish Messiah Jesus, God the Son of God of Abraham, Isaac and Jacob is coming back. Who can stop Him?
This time He will not be coming as the Lamb of God, to pay a perfect atonement for our sins. Now he will come as the Lion of Judah. Behold, it is going to be the biggest shook you have ever had. Next, billions of people will be casted into the everlasting lake of fire. Thats were the Devil and all his children will spend the eternity.
Mosque bombs in Iraq:
This Muslim in Baghdad survived a suicide attack from a Muslim brother


Ongoing civil war: When the Shiite Muslims in Iraq marked their holiest day of the year bloody attacks on Mosques killed 36 people. Muslims are blowing up their own Mosques in the name of the Prophet Muhammad and Allah.
This is the truth about Islam. Do something about it today, so you do not end up as a part of this disaster.
Muslims who kill in the name of Islam is basically doing what the Koran demands from every Muslim. Slaughter those who do not want to submit to Sharia laws.​
[Sura 5:33]
«The just retribution for those who fight God (Allah) and His messenger (Muhammad), and commit horrendous crimes, is to be killed, or crucified, or to have their hands and feet cut off on alternate sides, or to be banished from the land. This is to humiliate them in this life, then they suffer a far worse retribution in the Hereafter».
 
Naipekua kila sikuu maana ina ni kitabu cha haki Vipi wewe ambae hujapata kujua ukweli
Huko hakuna Amani wala Furaha ya kweli,
Boko haram na ISIS wanakisoma sana. Siamini kama wanayo furaha, kwa niyaonayo. Mti mwema hujulikana kwa matunda yake. Ni Shidaaaaaa
 
Sasa tukisema wagalatia mwezi mchanga wanarusha ngumi hewani.Leo Hitler anaitwa SHEHE HITLER au sio!Teh teh teh!Kama Hitler alikuwa Muislamu baso Yesu lzm atakuwa Muhindi!
Mkuu wewe unamsikia Hitler na hujamsoma kisawasawa. Hitler alikuwa rafiki na Kiongozi fulani mwarabu fulani, na ile salamu ya fuhrer alishea nao. na kama unataka kujua zaidi. tafuta Hitler aliuzungumziaje ukristo na aliusemaje Uislamu. Kiufupi Hitler aliupenda uislamu na akaona ndio njia sahihi. Akimsifu muhammad kuweza kueneza dini kwa upanga ndani ya muda mfupiHitler alikuwa fscinated na Uislamu sana kuliko Ukristo: Na aliubeza ukristo. Mtafute zaidi utajua kwamba hayo uyasikiayo sio fake story ni ukweli.

Yule Wiston Churchill ndiye mtu aliyeukashifu uislamu, umedumaza watu akili.na anti modernic. Bahati mbaya Uingereza wameondoa haya maoni kwenye makumbusho zao kuepuka malalamiko.
 
Teh teh teh teh!Haleluyaaaah!Wakatoliki lzm mumtafute MCHAWI WENU HAPA!
So is it TanzaniaLaw or waltham or kahtaan ??The choice is yours mrs dagama!
Guess what happened !! Prophets of doom can and will die.

Prophet, you may want to study up on grammar & spelling before you claim to be an all knowing Prophet... Maybe you got a D in grammar at prophet school?, Oh you never go to school and you published the book! Awesome. Pope kissed it. Wooh..Even Pope keep saying you made it. Mwaaaaaa
 
Nyie jamaa...!!
Khaa,mnapenda kufanya kama mnaonewa kila kitu! Nani anawaburuza kwani?



Labda tumuulize kwani ni nani alipaswa kuisemea mahakama ya kadhi kama sio waislam wenyewe walioko bungeni?
Na kwa bahati nzuri walikuwa wengi vya kutosha kule bungeni lakini badala ya kusimamia maslahi ya waislam kwa nguvu zote walijisahau na kujineemesha na posho kwa kuhofia bunge kuvunjika.

Kwa unafiki viongozi wengi ambao ni waislam wakijumuika na waislam huko misikitini na wakati wa uchaguzi wanawaaminisha waislam kuwa tatizo ni wakristo.Bila kuwaambia kuwa wakristo hawana bunge wala hawatungi sheria.

Hivi unadikiri kama waislam wangeitisha maandamano yasiyo na ukomo kama na kushinikiza mahakama ya kadhi isingepatikana??
Badala yake serikali ya CCM imekua ikiwarubuni mashehe na wanazuoni kuwa viongozi wa juu ni waislam hivyo sio vizuri kuiandama sana serikali; matokeo yake wanaendelea kulumbana na kuwatishia wakristo na kuchoma makanisa na kuacha wachawi wao ambao ni CCM na serikali yake iliyozunguka nchi nzima ikitangaza kuwa ingewapa mahakama ya kadhi mwaka 2005.
CCM iliwaahidi waislam mahakama ya kadhi na ilifaahamu fika kuwa kuna waislam na wakristo kule bungeni na wengi wao ni CCM,hivyo walikua na uhakika wa kuiweka kwenye katiba.

Angalia kichekesho uchaguzi wa mwaka 2010 badala ya kuiadhibu CCM kwa kuinyima kura waligeuka na kuipigia kura kwa kishindo kwa sababu tu ya kwamba mgombea wa CCM alikua ni muislam. Walijali kumpa muislam mmoja madaraka na kuisahau mahakama ya kashi badala ya kumwadhibu kwa kuudanganya umma wa waislam ili iwe fundisho kwa Chama chochote kutocheza na haki za waislam.
Hata wakiwaua wakristo wote hawawezi kupata mahakama ya kadhi kwani wakristo sio wasimamizi katiba ni walalamikaji tu.
Angalia maeneo yenye waislam wengi ndipo ambapo CCM hujichotea kura bila taabu kwa ahadi hewa za maendeleo yasiyotekelezwa. Lakini wakikutana vijiweni adui yao anakua ni wakristo.
 
Labda tumuulize kwani ni nani alipaswa kuisemea mahakama ya kadhi kama sio waislam wenyewe walioko bungeni?
Na kwa bahati nzuri walikuwa wengi vya kutosha kule bungeni lakini badala ya kusimamia maslahi ya waislam kwa nguvu zote walijisahau na kujineemesha na posho kwa kuhofia bunge kuvunjika.

Kwa unafiki viongozi wengi ambao ni waislam wakijumuika na waislam huko misikitini na wakati wa uchaguzi wanawaaminisha waislam kuwa tatizo ni wakristo.Bila kuwaambia kuwa wakristo hawana bunge wala hawatungi sheria.

Hivi unadikiri kama waislam wangeitisha maandamano yasiyo na ukomo kama na kushinikiza mahakama ya kadhi isingepatikana??
Badala yake serikali ya CCM imekua ikiwarubuni mashehe na wanazuoni kuwa viongozi wa juu ni waislam hivyo sio vizuri kuiandama sana serikali; matokeo yake wanaendelea kulumbana na kuwatishia wakristo na kuchoma makanisa na kuacha wachawi wao ambao ni CCM na serikali yake iliyozunguka nchi nzima ikitangaza kuwa ingewapa mahakama ya kadhi mwaka 2005.
CCM iliwaahidi waislam mahakama ya kadhi na ilifaahamu fika kuwa kuna waislam na wakristo kule bungeni na wengi wao ni CCM,hivyo walikua na uhakika wa kuiweka kwenye katiba.

Angalia kichekesho uchaguzi wa mwaka 2010 badala ya kuiadhibu CCM kwa kuinyima kura waligeuka na kuipigia kura kwa kishindo kwa sababu tu ya kwamba mgombea wa CCM alikua ni muislam. Walijali kumpa muislam mmoja madaraka na kuisahau mahakama ya kashi badala ya kumwadhibu kwa kuudanganya umma wa waislam ili iwe fundisho kwa Chama chochote kutocheza na haki za waislam.
Hata wakiwaua wakristo wote hawawezi kupata mahakama ya kadhi kwani wakristo sio wasimamizi katiba ni walalamikaji tu.
Angalia maeneo yenye waislam wengi ndipo ambapo CCM hujichotea kura bila taabu kwa ahadi hewa za maendeleo yasiyotekelezwa. Lakini wakikutana vijiweni adui yao anakua ni wakristo.
Thank you.. well explained..bravo
 
Hebu watazame wagakatia wanavyojipendekeza kwa waislamu.
Mavazi yetu WAVAE! na ndani ya miskiti yetu WAINGIE na Kusali.We umeshawahi kuona sisi tunavaa hivo vipedo vyenu na zile G string mnazokatia mauno humo makanisani?Na umeshawahi kuona KIONGOZI WETU Yyt anaingia humo kwenye hayo majumba yenu ya kubakia watoto?Viherehere ka Ushuzi wa ngomani.Mfnssssssssss!
Hao sasa ndio inteligent people wana make money na respect bila mipaka. nani kakwambia wamevaa tu hivihivi. Mrema mwenyewe anasema kile kibarakashia alipewa na shekh kama zawazi. hajawahi kuacha kuvaa.zawadi ni zawadi usikatae. twanga pepeta waliwahi imba hivyo miaka hiyo.
 
Labda tumuulize kwani ni nani alipaswa kuisemea mahakama ya kadhi kama sio waislam wenyewe walioko bungeni?
Na kwa bahati nzuri walikuwa wengi vya kutosha kule bungeni lakini badala ya kusimamia maslahi ya waislam kwa nguvu zote walijisahau na kujineemesha na posho kwa kuhofia bunge kuvunjika.

Kwa unafiki viongozi wengi ambao ni waislam wakijumuika na waislam huko misikitini na wakati wa uchaguzi wanawaaminisha waislam kuwa tatizo ni wakristo.Bila kuwaambia kuwa wakristo hawana bunge wala hawatungi sheria.

Hivi unadikiri kama waislam wangeitisha maandamano yasiyo na ukomo kama na kushinikiza mahakama ya kadhi isingepatikana??
Badala yake serikali ya CCM imekua ikiwarubuni mashehe na wanazuoni kuwa viongozi wa juu ni waislam hivyo sio vizuri kuiandama sana serikali; matokeo yake wanaendelea kulumbana na kuwatishia wakristo na kuchoma makanisa na kuacha wachawi wao ambao ni CCM na serikali yake iliyozunguka nchi nzima ikitangaza kuwa ingewapa mahakama ya kadhi mwaka 2005.
CCM iliwaahidi waislam mahakama ya kadhi na ilifaahamu fika kuwa kuna waislam na wakristo kule bungeni na wengi wao ni CCM,hivyo walikua na uhakika wa kuiweka kwenye katiba.

Angalia kichekesho uchaguzi wa mwaka 2010 badala ya kuiadhibu CCM kwa kuinyima kura waligeuka na kuipigia kura kwa kishindo kwa sababu tu ya kwamba mgombea wa CCM alikua ni muislam. Walijali kumpa muislam mmoja madaraka na kuisahau mahakama ya kashi badala ya kumwadhibu kwa kuudanganya umma wa waislam ili iwe fundisho kwa Chama chochote kutocheza na haki za waislam.
Hata wakiwaua wakristo wote hawawezi kupata mahakama ya kadhi kwani wakristo sio wasimamizi katiba ni walalamikaji tu.
Angalia maeneo yenye waislam wengi ndipo ambapo CCM hujichotea kura bila taabu kwa ahadi hewa za maendeleo yasiyotekelezwa. Lakini wakikutana vijiweni adui yao anakua ni wakristo.
Mkuu umetisha
cc Tanzania law, Mkuu wa chuo
 
Last edited by a moderator:
We kafiri! Leta ushahidi kama niliokiletea mimi.
HITLER sio mara moja au mara MIA MOJA kaingia KANISANI na kusali kwenye lile sanamu la mzungu alio nusu Uchi.
Na picha nimekuwekea wa HITLER na watu wake WAKIWA NDANI YA KANISA.
Soma Biography yake UONE HITLER pamojja na WAZAZI WAKE walikuwa DINI GANI.
Ni Mkatoliki 100% !.

Jitu zima na vinyele
o mpaka kwenye makalio Linakuja hapa bila AIBU halafu linaandika "..hitler alikuwa rafiki na mwarabu Fulani....."!

Yaani Kuwa MKIRISTO ni lazima uwe MJINGA KIASI HIKI KWELI?
Dahhh!

Mgalatia Unatishaaaaaa!
Loading......
 
Mkuu Kristians wanafanya mambo kisayansi.
Tatizo ni nyinyi wenyewe; Mna mahitaji mengi sana kwenye imani yenu yasiyotekelezeka. Na hii inaifanya imani yenu kuwa na mapungufu makubwa sana tena si kidogo. .Ndio maana hata sasa, uongozi wenu huko hamuukubali. Ila mumekuwa mkiuvumilia tu.
.
Mtu akiibuka na kapewa Hela ya mafuta huko arabuni akija na mihemuko yake ya kuleta vurugu mnasadiki moja kwa moja. Na kwa bahati mbaya mna watu wengi wenye uwezo wa kuwafanya mkajisikia wanyonge hata kama ni matajiri kuliko jamii nyingine. Wengi mnapewa mafundisho ya kuwasononesha na kuwafanya mjione wanyonge. Na mnapenda kuyasikiliza, kwakuwa yako mioyoni mwenu.Nyinyi ni inferior kwakuwa mnajikubali hivyo.Na hamwezi ondoa hilo kwenye roho zenu.
Zamani watu wengi walikuwa wanaamini ni kwa vile hamjasoma, mkaelimika. lakini siku hizi imegundulika hata mkisoma haisaidii. Hamwezi kuwa watu chanya kifikra.Kwani nyuma yenu mnakundi kubwa lisilo na Elimu.

Mfano; Kule Arabuni Wanachinjana kwa jina la dini kila kukicha: Lakini hamuwachi kusingizia Ni marekani na Mwisrael waliosababisha. Lakini hata ukiwaondoa hao: Haiwezi ondoa huu utamaduni wa mwenye nguvu ndiye msema kweli. Haijasaidia Somalia wala nyinyi hamjaonesha hisia za kuwasaidia wasomali miaka nenda miaka rudi. watakaoweza kuwasaidia wanatakiwa watoke kwenye dini nyingine.Na sio ya kwenu.

Hata hicho kipengele kwenye sensa kilionekana kitaenda kupandikiza mbegu ya chuki za kidini zilizokuwa zikishika kasi nchini: nyinyi hilo hamlioni. Na hata mkiliona ndilo mnalohitaji. Mnashangilia mkiona nchi inapelekwa kwenye Vurugu. KWa imani kuwa Mtashika dola.Jamhuri ya CAR waliamini hivyo hivyo. Tena washukuru wazungu kwenda kuokoa jahazi. Manake Iran ilipeleka pua kiupendeleo tu.

Swali la msingi
Je mnataka muonekane wengi ili mjisikie vizuri na muanze kunyanyasa wachache kwa kutumia wingi wenu?: inaonyesha hamjisikii vizuri hata sasa. Sijui hata kama umenielewa au unachagua cha kunielewa?
Azimio la Arusha: binadamu wote ni sawa na afrika ni moja. Tuache ubaguzi



Sijawahi kuona tafakuri kubwa kama hii katika kizazi hiki chote !!!

'''Au wewe ni mjukuu wa mfalme Suleiman?''.

Bila shaka aliyeko ndani yako ni mkuu kuliko Suleiman
 
Back
Top Bottom