Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa,mtihani wa body nasikia nayo ilikuwa noma kuliko hata hii ya law schoolbefore haijaja law school kulikuwa ba Bar exams
Watu hawapendi ukweli, the students are unfit. To be fair, even at the best of times the transition from an academic cadre to a professional one is always difficult - it cannot be more than 20% - as the CPAs and PEng. Firthermore, unless you have been on both sides, this debate is thankless.Zipo kwa uchache lkn si kwa kiwango cha kupigiwa kelele kiasi hiki.
Wanafunzi wana msingi mbovu tangu walikotoka kabla ya kuingia law school. Na wakifika law school wako bize na ujinga.
Wafanye kama SUA,hawacheki na Nyani wala Ngedere.Wanafunzi waache Janja janja KAMATA Wote hakuna kulegeza kwenye vigezo au ufaulu kamata Wote
Mtihani ni oral afu panel wamejaaa majaji tuuSawa sawa,mtihani wa body nasikia nayo ilikuwa noma kuliko hata hii ya law school
Ova
26 November 2022
UDOM
Dodoma, Tanzania
UDOM Yaongoza Afrika | Yatetea Ubingwa wa Tanzania Ambao Ulipotea kwa miaka 21
Wahadhiri wa UDOM wamesema sasa wanajipanga ili wanafunzi wao waweze kwenda mashindano ngazi ya dunia ili huko pia waibuke na matokeo mazuri
Source : UDOM TV