Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe

For how long has this problem persisted?

Answer: This is prevailing for a very long time.

Reference:

Dokezo - Tuhuma za Siasa chafu "Law School of Tanzania" wahusika wajitokeze kuzijibu

2. Only this year has such mass failure?

Answer: Find below statistics for the students who passed:

Cohort 28 pass 169 (less than 30%)
Cohort 29 pass 54 (less than 10%)
Cohort 30 pass 133 (less than 26%)
Cohort 31 pass 28 (less than 5%)

Note the current mass failure in subject is cohort 33.

Reference;

Tume ya Kuchunguza kadhia ya Law School inapaswa kuwa huru

3. If #2 is yes, why?

Answer #2 is "NO." In which case your subsequent question has no relevance.

4. Does LST recruited all new instructors this year? If the problem is all about instructors.

Answer: The given answers in #1, 2, and 3 render the entire of question #4 irrelevant.

I suggest you relax and go through the references. You will find what is being said for yourself if you wish.
Thank you.
 
Kufutiwa status yake ya ubalozi, na kupelekwa mahakamani Italy, hakumzuii kutoa maoni yake, ni haki yake asikilizwe.
Kuna sehemu nimesema kuwa anazuiwa kutoa maoni yake. Mkuu, au wewe ni moja kati ya wale waliopigia kura mpaka tangazo la stories of change? Daaah hii nchi ngumu sana.
 
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri.

Kwa sampuli hii:

1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika taasisi hiyo (LST).

“Wanafunzi wanaandaliwa vizuri (vyuoni) isipokuwa kutakuwa na shida LST, walimu hawazingatii ufundishaji, wanafikiria mishahara, akipokea hajali mwanafunzi kaelewa au la.”

2. Profesa Costa Mahalu, (VC Saut): anasema ni aibu kwa taasisi hiyo kutokana na matokeo hayo, pia inapaswa ijitafakari.

“Haiwezekani wanaofeli mtihani wa uwakili pale LST hawana ujuzi na maarifa katika masomo yao kutoka vyuo walivyosoma. Hapana! Kuna tatizo na lazima utafutwe ufumbuzi,”

Profesa Mahalu anasema matokeo mabaya yanasababishwa na makundi matatu ya walimu wanaowafundisha wanafunzi hao wa uwakili.

(a) Matatizo ya uwezo,
(b) wanaopenda kuogopwa na wanafunzi,
(c) wale wasiotaka mafanikio ya wengine, ambalo ndiyo lililo hatari zaidi.

“Hata hapa Saut niliwakuta walimu wa aina hiyo. Tumefanya kazi kubwa kumaliza tatizo hilo,”

Profesa Mahalu anashauri kulindwa msingi wa kuanzishwa kwa LST ambao ni kutoa elimu kwa vitendo kutoka kwa majaji, mahakimu na mawakili wanaoshughulika na mashauri kila siku mahakamani.

“Maprofesa waliobobea katika nadharia wasipelekwe kuwafundisha wanafunzi pale LST kwa sababu kufanya hivyo ni kukiuka lengo la msingi la kuanzishwa kwa chuo hicho.”

Kabla ya taasisi hiyo, anasema Mahalu mawakili walipata maarifa kwa miezi tisa kutoka kwa mawakili na mahakimu waliopo kazini.

“Taifa lilipata wanasheria na mawakili nguli, nikiwemo mimi, Jaji mkuu mstaafu, Othman Chande na Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda mwaka 1974. Wahadhiri wa LST wajitafakari kwa matokeo haya.”
___________

Watu kama hawa walipaswa kuwamo kwenye tume ya Dr. Ndumbaro.

LST kuna matatizo na walimu yasiyokuwa ya kufumbiwa macho. Fika LST kuutambua ukwasi wa walimu hawa wenye kujiita 'fulani the don.'

Kwa hakika muda wa kuyatanzua makando kando yao ni sasa.

Wameyakoroga wenyewe, hawana budi kuyanywa.

Source:

Profesa Shivji asema tatizo ni mfumo ufaulu mtihani Uanasheria
Wamesema vizuri ,Kama chuo unawezaje toa matokeo ya aina ile, ni uhuni plus walimu vilaza, KWa Sasa tz Kuna shida kubwa ya walimu kwenye vyuo vyetu, WENDA wana mapepo,

Siku MOJA nikafika U- Dom , nilikutana na history za kijinga na kishamba Sana, kwamba mwanafunzi akitaka maliza pale basi awe mbali na urafiki na watoto wa kike, kwamba pale kudisco ni jambo jepesi Sana hasa ukiwa karibu na mtoto wa kike ambae MOJA ya mwalim anamtaka ,wakaenda mbali

Kwamba yupo kijana mmoja na mwenzake wa wakike walikua wapenzi ( hii sio shida maana watu wengine ndoa huanzia huko mavyuoni) siku ya siku mwalim mmoja akawa amempenda uyo binti wa kike , so yule kijana aliitwa na walimu marafiki wa mwalim uyo , akaulizwa ,umetoka kwenye familia maskini au tajiri? Kijana akasema maskini , akaambiwa wataka maliza chuo au la,? Kijana akasema nataka ,

Then akaambiwa Kama wataka maliza chuo achana na binti yule , basi kijana akamfuata binti na kumwambia naomba tuachane maana kwetu maskin na nategemewa so nikifukuzwa chuo nitakua nimeangusha ukoo, KWa maumivu makubwa akaachana na binti uyo ,

Mbaya unakuta mwalim anamtamani binti ana familia yake hawezi kumuoa, ujinga mtupu
 
Wamesema vizuri ,Kama chuo unawezaje toa matokeo ya aina ile, ni uhuni plus walimu vilaza, KWa Sasa tz Kuna shida kubwa ya walimu kwenye vyuo vyetu, WENDA wana mapepo,

Siku MOJA nikafika U- Dom , nilikutana na history za kijinga na kishamba Sana, kwamba mwanafunzi akitaka maliza pale basi awe mbali na urafiki na watoto wa kike, kwamba pale kudisco ni jambo jepesi Sana hasa ukiwa karibu na mtoto wa kike ambae MOJA ya mwalim anamtaka ,wakaenda mbali

Kwamba yupo kijana mmoja na mwenzake wa wakike walikua wapenzi ( hii sio shida maana watu wengine ndoa huanzia huko mavyuoni) siku ya siku mwalim mmoja akawa amempenda uyo binti wa kike , so yule kijana aliitwa na walimu marafiki wa mwalim uyo , akaulizwa ,umetoka kwenye familia maskini au tajiri? Kijana akasema maskini , akaambiwa wataka maliza chuo au la,? Kijana akasema nataka ,

Then akaambiwa Kama wataka maliza chuo achana na binti yule , basi kijana akamfuata binti na kumwambia naomba tuachane maana kwetu maskin na nategemewa so nikifukuzwa chuo nitakua nimeangusha ukoo, KWa maumivu makubwa akaachana na binti uyo ,

Mbaya unakuta mwalim anamtamani binti ana familia yake hawezi kumuoa, ujinga mtupu

N Mburura tu anayeweza kushindwa kuuona ukweli huo.
 
Hao maprofesa wanaofundisha vyuo wanavyotoka hao wanafunzi wametoa maoni yao,
Kwann unaamini maoni ya maprofesa na siyo watu wengine? Huoni kuwa wewe ndiyo umekaririshwa?
 
Na wale walimu wanaodai K ndio wawapasishe wanafunzi wao? Hawa wapo wengi na sio LST peke yake lakini katika vyuo tele tanzania. Pia wapo ambao wanadai wazi wazi wanafunzi wawape hongo ili wakubali kuwa walimu wasimamizi wa project zao za mwisho vyuoni. Mfumo mzima wa walimu wa vyuo vikuu unatakiwa kuangaliwa to be honest!
Huu ni uwongo wa wazi kabisa. Wanafunzi wenyewe ndiyo wanaomba kutoa uroda ili wapewe marks za bure.

Inakuingia akilini kuwa majitu mazima ya vyuo vikuu yanaweza kutoa uroda kwa shinikizo?? Mimama ya miaka 20 na kuendelea itoe ngono kwa kualazimishwa?

Kwann haipeleki malalamiko polisi kama kweli haitaki?

Halafu ktk zama hizi ambazo hata ukimaliza degree hakuna kazi Nani anapazimika kuutafuta elimu kwa taabu kiasincha kutoa hongo ya ngono?
.

Hizi ni hadithi za zamani sana
 
Kwann unaamini maoni ya maprofesa na siyo watu wengine? Huoni kuwa wewe ndiyo umekaririshwa?
Mkuu wengine tunaishi / wanaishi KWa tafiti mbali mbali mbali , ukweli ni kwamba leo tz tuna walimu wa hovyo kwenye vyuo vyetu kuliko maelezo,

Kutongoza hawawezi ila huvizia vitonga kisa ya maksi KWa watoto wetu, na leo Kama umezaa binti unajiuliza Mara mbili kwamba huko chuoni atamaliza salama

KWa Sasa lazima kuja na SHERIA kali hasa KWa watoto wetu walio/ ambao wanaenda vyuoni ni shida Sana ,
 
Huu ni uwongo wa wazi kabisa. Wanafunzi wenyewe ndiyo wanaomba kutoa uroda ili wapewe marks za bure.

Inakuingia akilini kuwa majitu mazima ya vyuo vikuu yanaweza kutoa uroda kwa shinikizo?? Mimama ya miaka 20 na kuendelea itoe ngono kwa kualazimishwa?

Kwann haipeleki malalamiko polisi kama kweli haitaki?

Halafu ktk zama hizi ambazo hata ukimaliza degree hakuna kazi Nani anapazimika kuutafuta elimu kwa taabu kiasincha kutoa hongo ya ngono?
.

Hizi ni hadithi za zamani sana
Kubali au kataa huo ndio ukweli vyuoni. Polisi? Hivi tanzania polisi kazi yao ni nini hasa? Watu wanaua na kujulikana na hawafanywi lolote iwe mtu anaedai hongo ili awe supervisor wako wa final project yako?
 
Kutongoza hawawezi ila huvizia vitonga kisa ya maksi KWa watoto wetu, na leo Kama umezaa binti unajiuliza Mara mbili kwamba huko chuoni atamaliza salama
Kwenye maandiahi yako hapa ndiyo unathibitisha uhovyo wa wanafunzi Sasa.

Mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kujisimamia Hadi Prof amtake kimapenzi bila ya ridhaa yake na atoe uroda? Huoni kuwa tatizo linaanzia kwa wanafunzi wenyewe?

Mkuu wanafunzi ndiyo hawasomi hivyo wanajiingiza kwenye kununua mitihani kwa kutumia miili yao. Maprofesa wanachofanya ni kutumia tu huo mwanya kama fursa.

Mwanafunzi wa chuo kikuu .mama mtu mzima (miaka 20+ atoe mzigo bila ya ridhaa yake na akae kimya?) Basi wana shida kwenye vichwa vyao.
 
Kwenye maandiahi yako hapa ndiyo unathibitisha uhovyo wa wanafunzi Sasa.

Mwanafunzi wa chuo kikuu anashindwaje kujisimamia Hadi Prof amtake kimapenzi bila ya ridhaa yake na atoe uroda? Huoni kuwa tatizo linaanzia kwa wanafunzi wenyewe?

Mkuu wanafunzi ndiyo hawasomi hivyo wanajiingiza kwenye kununua mitihani kwa kutumia miili yao. Maprofesa wanachofanya ni kutumia tu huo mwanya kama fursa.

Mwanafunzi wa chuo kikuu .mama mtu mzima (miaka 20+ atoe mzigo bila ya ridhaa yake na akae kimya?) Basi wana shida kwenye vichwa vyao.
Sexless hivi wewe ni mkufunzi katika moja ya vyuo au hujapitia chuo? Nauliza tu maana naona utetezi wako ni wakushangaza kidogo.
 
Tatizo la Law School si dogo ambalo ati kila Tom, Dick au Harry anaweza kuwa na ufumbuzi au ushauri.

Kwa sampuli hii:

1. Profesa Cyriacus Binamungu (Mzumbe): anasema kuna shida kwa walimu katika taasisi hiyo (LST).

“Wanafunzi wanaandaliwa vizuri (vyuoni) isipokuwa kutakuwa na shida LST, walimu hawazingatii ufundishaji, wanafikiria mishahara, akipokea hajali mwanafunzi kaelewa au la.”

2. Profesa Costa Mahalu, (VC Saut): anasema ni aibu kwa taasisi hiyo kutokana na matokeo hayo, pia inapaswa ijitafakari.

“Haiwezekani wanaofeli mtihani wa uwakili pale LST hawana ujuzi na maarifa katika masomo yao kutoka vyuo walivyosoma. Hapana! Kuna tatizo na lazima utafutwe ufumbuzi,”

Profesa Mahalu anasema matokeo mabaya yanasababishwa na makundi matatu ya walimu wanaowafundisha wanafunzi hao wa uwakili.

(a) Matatizo ya uwezo,
(b) wanaopenda kuogopwa na wanafunzi,
(c) wale wasiotaka mafanikio ya wengine, ambalo ndiyo lililo hatari zaidi.

“Hata hapa Saut niliwakuta walimu wa aina hiyo. Tumefanya kazi kubwa kumaliza tatizo hilo,”

Profesa Mahalu anashauri kulindwa msingi wa kuanzishwa kwa LST ambao ni kutoa elimu kwa vitendo kutoka kwa majaji, mahakimu na mawakili wanaoshughulika na mashauri kila siku mahakamani.

“Maprofesa waliobobea katika nadharia wasipelekwe kuwafundisha wanafunzi pale LST kwa sababu kufanya hivyo ni kukiuka lengo la msingi la kuanzishwa kwa chuo hicho.”

Kabla ya taasisi hiyo, anasema Mahalu mawakili walipata maarifa kwa miezi tisa kutoka kwa mawakili na mahakimu waliopo kazini.

“Taifa lilipata wanasheria na mawakili nguli, nikiwemo mimi, Jaji mkuu mstaafu, Othman Chande na Waziri Mkuu mstaafu Mizengo Pinda mwaka 1974. Wahadhiri wa LST wajitafakari kwa matokeo haya.”
___________

Watu kama hawa walipaswa kuwamo kwenye tume ya Dr. Ndumbaro.

LST kuna matatizo na walimu yasiyokuwa ya kufumbiwa macho. Fika LST kuutambua ukwasi wa walimu hawa wenye kujiita 'fulani the don.'

Kwa hakika muda wa kuyatanzua makando kando yao ni sasa.

Wameyakoroga wenyewe, hawana budi kuyanywa.

Source:

Profesa Shivji asema tatizo ni mfumo ufaulu mtihani Uanasheria
Mliofelishwa wafanyeni hivi hao Maprofesa maana hapa Tzn kufelishana eti ndio kipimo cha mtu kuwa na akili 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-151206.png
    Screenshot_20221013-151206.png
    147.3 KB · Views: 7
Nikurejeshe kwa maoni ya msomi Nguli Prof. Mahalu:
______
Profesa Mahalu anasema matokeo mabaya yanasababishwa na makundi matatu ya walimu wanaowafundisha wanafunzi hao wa uwakili.

(a) Matatizo ya uwezo,
(b) wanaopenda kuogopwa na wanafunzi,
(c) wale wasiotaka mafanikio ya wengine, ambalo ndiyo lililo hatari zaidi.

“Hata hapa Saut niliwakuta walimu wa aina hiyo. Tumefanya kazi kubwa kumaliza tatizo hilo,”

-----------

Kama ukweli huu hauuoni ninadhani wewe unaweza kuwa ni wale watajwa kwenye group (c) hapo. Bila shaka ni wale wenye makasiriko na mafanikio ya wengine.

Wenye makasiriko na mafanikio ya wengine anasema Prof. Mahalu ni wabaya zaidi.

Zingatia: Profesa Mahalu, aliwahi kuwa Dean wa kitivo cha sheria UDSM na VC wa kilichokuwa Chuo Kikuu cha Bagamoyo na sasa hivi ni VC Saut.
unamnukuu tu Mahalu na kumaliza hoja yako, mbona humzungumzii Profesa Shivji???
 
Kama utaupuuza ukweli kwamba wanafunzi ndiyo wenye shida basi mleta mada una wivu ama chuki binafsi na walimu wa shule ya sheria.

Wanafunzi wanachangia kufeli kwao kwa 75+%. Muda mwingi wanadanga, wanalewa, wanabet, wanawaza ukahaba, n.k.

Hawawezi kuandika sentensi nzuri za kiswahili na hata kiingereza. Unapata wapi ujasiri wa kuwalaumu walimu pekee?

Ni kupoteza muda kuhisi wanafunzi pekee kwenye kadhia husika ndiyo wenye matatizo. Ukweli ni kwamba kwa kiasi kikubwa kuna shida nje ya wanafunzi
 
Ukweli ni kwamba kwa kiasi kikubwa kuna shida nje ya wanafunzi
Ni kinyume chake mkuu. Kwa kiasi kikubwa tatizo liko kwa wanafunzi (75+%) na kiasi kilichobakia ni wakufunzi. Trust me mkuu.
 
Hawa law school wakiwasikiliza wanasiasa wamekwisha wakaze hapohapo .elimu yetu ipo chini saaana na vijana hawasomi kwa faida yao wanasoma kujibu mitihani.Hapa tunataka kujua weledi wa Dr mwakyembe KWENYE ripoti yake tutakufatilia kwa tochi.
 
Kwa maoni yako unaona chache. Wengine tunaona ndiyo zilizo kuu, na ndiyo maana unazisikia kelele hizi.

Kwa nini unadhani maoni yako ndiyo yaliyo sahihi? Nimekupa CV ya Prof. Mahalu Ili japo kukustua. Kwani CV yako inafikia kwa huyo gwiji?

Hapa ni maneno yake, beberu akisema "from the horse's mouth:"

“Hata hapa Saut niliwakuta walimu wa aina hiyo. Tumefanya kazi kubwa kumaliza tatizo hilo,”

Au wewe ni mkomavu kama warusi wa Buza tu?
Hawa maoni Yao unayasikiliza lkn sion kuyachukua Kama ndo majibu Sahihi, kuna WAtu wanamakasiriko na WAtu wafanyao Kazi LST pia
 
Education without philosophy is like a car without steering wheel or radar ...

Usaili wa jaji wa mahakama ya South Africa , unafungua macho kuhusu wisdom and philosophy unavyosaidia kuelewa swali na kutoa majibu sahihi

JSC April 2016 interview of Judge N F Kgomo for the Limpopo Deputy Judge President. Judges Matter is a South African non-profit organisation dedicated to encouraging broad-based public engagement with the important process of selecting the judges of the land.
Source : Judges Matter


GOOD JUDGES MAKE GOOD JUDGMENTS.​

Judges and the judgments they have made have increasingly become more central to politics in South Africa. The question of how we appoint our judges is therefore a very important one. How judges are appointed in South Africa matters to all South Africans.
How judges are appointed to the bench matters. The quality of our judges is determined by the quality of the process we use to appoint judges. We believe that the way judges are appointed should be transparent, fair and accessible to all people in South Africa. A good appointments process leads to good judges on the bench and good judges make good judgments.
In South Africa candidates are nominated to become judges by the Judicial Service Commission (JSC) at the JSC interviews. Judges Matter is committed to monitoring the JSC interviews every year in order to bring transparency and awareness to this process. Judges Matter attends the interviews, which usually take place in April and October each year, as well as live streaming each round of the interviews for the public to watch.

Throughout the year Judges Matter also monitors the judiciary and does research into judicial governance processes and other topics of public interest. This includes; monitoring judicial conduct tribunals, researching the appointment process for acting judges, interrogating the criteria the JSC uses to nominate candidates to the bench, examining the governance of the magistracy, investigating statistics regarding the judiciary, writing thought pieces and more.
While the role of Judges Matter in the public space is constantly evolving, here are some of the activities Judges Matter currently performs to bring transparency to the JSC interviews and awareness of the judiciary to the public:
– Live streaming the JSC interviews for the public to watch
– Writing profiles on judicial candidates and synopses of their JSC interviews
– Making a video of each JSC candidate’s interview available on YouTube and our website
– Uploading transcripts of each JSC interview to our website
– Attendance at, and monitoring of the JSC Interviews
– Raising awareness of the JSC appointment process and the judiciary
– Supporting journalists and the media in their monitoring of the judiciary
– Writing of articles and thought pieces about the judiciary and JSC processes
– Further research and investigation into judicial governance processes

MEET THE TEAM​


Alison Tilley
Alison Tilley is an attorney and the co-ordinator of the Judges Matter campaign. This monitors the JSC appointments process of judges and aims to improve civil society scrutiny of judicial appointments.
She has litigated on access to information and whistle-blowing issues in a number of High Court matters, the Labour Court, and the Constitutional Court and Supreme Court of Appeal.
Her publications include “The Right to Know, The Right to Live”, edited by Richard Calland and herself, and she contributes to the Daily Maverick. She works on issues surrounding gender based violence, and particularly the roll out of sexual offences courts with the Rape Survivor Justice Campaign.
Zikhona Ndlebe
Zikhona Ndlebe is a Research and Advocacy Officer of the Judges Matter Organisation situated at the DGRU. Judges Matter monitors the Judicial Service Commission (JSC) appointments process of judges and aims to improve civil society scrutiny of judicial appointments.
Zikhona Ndlebe holds an LLB degree from the University of the Western Cape (UWC) and is currently studying towards an LLM specialising in Labour Law at the University of Cape Town (UCT). She is an admitted attorney of the High Court of South Africa with a High Court Right of Appearance. Subsequent to being admitted as an attorney she practiced as an attorney at one of the prestigious law firms in Cape Town and specialised in Labour and Employment Law. She has represented clients at the Commission for Conciliation, Mediation and Arbitration (CCMA) and at the various Bargaining Councils. She has appeared at the Labour Court and has been involved in court cases up to the Labour Appeal Court. Zikhona Ndlebe brings to the Judges Matter Organisation her Labour Law expertise and experience in legal practice.
Mbekezeli Benjamin
Mbekezeli is a Research and Advocacy Officer of the Judges Matter Campaign at DGRU. Judges Matter aims to improve civil society scrutiny of the South African Judiciary through monitoring the appointment, governance and discipline of judges and magistrates.
Mbekezeli has litigated on issues relating to the right to education, the right to housing, and the right to protest for activists. He has been involved in cases that have come before courts at all levels of the court system, from the Magistrates Courts, up to and including the Constitutional Court. He has also made submissions at international bodies, including UN treaty bodies. He was recently selected as the Global Practitioner-in-Residence at Stanford Law School for the Spring Quarter 2019.
He holds an LLB from Wits University and is currently reading for an LLM at the University of Cape Town.
We hope that this website provides you, our reader with more information about the JSC, the judge interview process and the South African judicial system as a whole.
Should you have any questions please do not hesitate to ...

Source : Judges Matter - How judges are chosen in South Africa
 
Back
Top Bottom