- Thread starter
- #21
Sas hyu huyu professor mahalu s amewai kuwa na kashfa ya kuongeza gharama za ofisi ya ubalozi wa Italy ..na kesi kapamban nayo Hadi kuchomokaa ila kusema kweli kuwa wa kili kwa sas Ni dili kubwa mno
Kuna jamaaa namfahamu. Kipindi nasoma olevel yeye alikuwa Aleve fom 5 akiwa six mm Niko fom 5 ,sas baada ya muda chapu kamaliza nakisha kwenda mzumbe namm nikiwa najianda kwenda chuo Cha ija Cha korogwe tanga baadae nikagome kwenda chuo hicho ila mzeee wangu alikuwa na hamu sas mm kuwa wakili au hakimu
Lahaula baada yamiaka Kama mitano nikakutana na yule jamaaa katk eneo fln huko Arusha ambako tulikuwa TUnaenda kucheki kiwanja jamaa dalali akasema jirani yenu huu Ni wakili .bas kdg tu jamaa alitoka na gari ndipo dalali akatumbia kuwa jamaa si yule pale kumbee ndio huyo jmaaa nilisoma nae shule moja sas Ni wakili mkubwa sna huko Arusha anamiliki ma apartment za maana huko Arusha maeneo ya moivaro ..
Uwakili Ni dili Sana na Kaz za dhuluma mno
Mkuu kumbuka kuna baina ya kuwa na tuhuma na tuhuma kuthibitishwa.
Ndiyo maana haijawahi kuacha kuitishwa heshima kwa uamuzi wa mahakama.