Kadi nyekundu ya Bocco ni ya kimchezo au ni ubaridi wa derby?

eddy brown

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
414
Reaction score
314
Tuwe wakweli wanamichezo,hivi kweli mchezaji mzoefu, captain wa timu unafanya tukio kama lile mbele ya kamera zote kama zile ulitegemea nini?eti Keisha unazuga kulalama kwa refa kama si ubaridi wa derby ya kariakoo.
 
Kuhusu kadi ya Bocco.. Nguvu ya muamala ilionekana.
 
Ni kweli hakustahili.. Ile ilikua ni nguvu ya muamala.
Basi hata Nyoso kipindi kileee hakustahili kufungiwa mana Boko naye 'aliguswa' tu na kidole mata...k.. Oni!
 
Mchezaji mkubwa Kama yeye hakustahili ule ujinga 🛑
Kila binadamu ana ukomo wa kuvumilia. Yule fala aliyemfanyia ufala Bocco fuatilia ufala wake wa nyuma. Alimfanyia faulo Bocco akawa majerudi kipindi kirefu sana. Akataka kurudia ufala kama ule. Mle ndani kuna watoto wanatukana wenzao matusi ya nguoni. Rejea Zidanne kumpa kichwa Materraz alimtukana son of bitch. So kuna wakati tunaweza nidhamu pembeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…