Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
Ha ha ha Simba bhana!!
Eti yule Mwarabu wao anadai Mechi ya Yanga na Simba mwamuzi atoke nje ya nchi!!
Sijui alisomea wapi huyu jamaa!! Hata sheria za ligi hazifahamu!!
Nyie tulieni KIMEZAMA NDANI. Adhabu siyo points tu. Hata fedha ni adhabu. Au kufungiwa mechi kadhaa!!
KOMBE hadi mtengeneze mdori.
Eti yule Mwarabu wao anadai Mechi ya Yanga na Simba mwamuzi atoke nje ya nchi!!
Sijui alisomea wapi huyu jamaa!! Hata sheria za ligi hazifahamu!!
Nyie tulieni KIMEZAMA NDANI. Adhabu siyo points tu. Hata fedha ni adhabu. Au kufungiwa mechi kadhaa!!
KOMBE hadi mtengeneze mdori.