Wewe ni Kagera?Ni kweli point 3, wamepewa simba? Tff hawajatenda haki kama kweli,hebu tujuzane Mimi nimekosa raha!
Imepenya hiyooo. ......Ni kweli point 3, wamepewa simba? Tff hawajatenda haki kama kweli,hebu tujuzane Mimi nimekosa raha!
Imo hiyoMmeshindwa kucheza uwanjani mmeamia mezani
Refer serengeti boys to gabon ni mezani pureYaani mnataka ushindi wa mezani hahahaha inamana simba mmefikia hatua hiyo wapi mavugo wapi kichuyaaaa
PointiWamechemsha kweli maana kutoka Dec hadi Apr kagera imecheza mechi nne tu?
Lugha gani sasa hii?Moira unachezwa uwanjani Na mezani nadhani una uelewa mdogo sana wa soka ndio maana hujui matumizi ya kadi
Lugha zingine mbona hata sizielewi!!!Hilo sijui nachonua watia adabu yanga basi
wacha kujito ufahamu kana kwamba hamjawahi kupata pointi za mezani............yue mchezaji alizuai goli nne za wazi kumbe hakustahili kucheza na marufku kujifanya unabadili kanuni za mpiraMmeshindwa kucheza uwanjani mmeamia mezani
.......Hata Serengeti wanatua Gabon kwa maamuzi ya mezani. Haitaki hasira kikubwa taratibu za mchezo zizingatiwe.
Simba tuache kulia lia, tulifungwa na walituzidi uwezo, je asingekuwa na hizo kadi za njano tungetoa kisingizio gani??
Ila yanga haitakiwi kuchukua ndoo mwaka huu, kagera apewe point zake ila yanga hana chake, ni mnyama!
Hivi unajua kuwa mechi ya Simba na yanga raundibya kwanza tff waliwapendendea, hamkustahili droo, sisi ni kama tulinyang'anywa point 2.Usengerema mlianzisha wenyewe mchezaji kuchagua mechi...mikia Fc mko desperate na ubingwa....Yanga misukosuko kibao na wanachukua kombe...Msaada wa Bashite na bado mnashindwa..Chezeni ligi daraja LA kwanza
Lakini mkuu mbona nyie mchezaji wenu alichagua mechi ya kucheza haukulalamika?wacha kujito ufahamu kana kwamba hamjawahi kupata pointi za mezani............yue mchezaji alizuai goli nne za wazi kumbe hakustahili kucheza na marufku kujifanya unabadili kanuni za mpira
Huyu amechagua IPI? Na liniLakini mkuu mbona nyie mchezaji wenu alichagua mechi ya kucheza haukulalamika?