warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Gari alilokuwa akitumia marehemu Maalimu Mhidini Gurumo huku pia gazeti hili likibaini kuwa kadi ya gari hilo ipo kwa Ruge Mutahaba.
Diamond Platinum akimkabidhi ufunguo ya gari aina ya Toyota Fun Cargo marehemu Gurumo.nRuge ni Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar esSalaam. Mbali na kujulikana kuwa kadi hiyo ipo mikononimwa Ruge, gazeti hili lilichimba na kugunduammiliki halali wa gari hilo aliyeteuliwa namarehemu Gurumo kabla mauti kumkuta.
Sikia chanzo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini, chanzo chetu kilisema: "Mgogoro uliopo kati ya watotowa marehemu ni kazi bure tu. Lile gari ameachiwa mke wa marehemu, huo ndiyo ukweli wa mambo."Akaongeza: "Ndiyo maana hata marehemu alimwagiza Diamond (Nasibu Abdul) ampatie Ruge kadi ya gari ili abadilishe jina liwe namkewe. Watoto wanazozana bure tu.
Diamond naye ni, kweli kabisa, mzee (marehemu Gurumo) aliniagiza nimpe kadi Ruge ili ashughulikie ubadilishwaji wa jina, ndivyo nilivyofanya. Mpakasasa bado Ruge anaendelea kushughulikia. Diamond hakufafanua zaidi, hata pale alipoulizwa maswali mengine, alisema atafutwe Ruge kwa maelezo kuwa anaweza kutoaufafanuzi mzuri zaidi.
Ruge sasa alipopatikana kwa njia ya simu hakuuma maneno, aliweka wazi kuwa ni kweli kadi ipo kwake na kwamba alipewa na Diamond ikiwa ni maagizo ya marehemu Gurumo ibadilishwe jina, liwe na mkewe. Ujue marehemu Gurumo kabla hajatutoka alishtukia kuwepo na mgogoro juu ya gari hilokwa wanaye hivyo akamuomba Diamond kwa kipindi hicho asimpatie kadi ya gari mpaka itakapobadilishwa na kuwa na jina la mkewe,"alisema Ruge na kuongeza:"
Baada ya marehemu kuulizwa sababu yakuchukua uamuzi huo alisema kuwa anayestahilikuwa mmiliki wa gari hilo ni mkewe kwanialiyempatia gari alikuwa na lengo la kumsaidiayeye na si watoto wake, sasa gari lingeandikwa jina lake lingeleta utata zaidi wa hayayanayoanza kujitokeza sasa.
"Mzee Gurumo enzi za uhai wake Ruge anaendelea kufafanua, marehemu alisema watoto bado wana nguvu tofauti na mkewe ambaye tayari ameshazeeka hivyo ni vyema ikitumika kumsaidia, kwa hiyo mrithi halali wa hilo gari kwa mujibu wa marehemu mwenyewe ni mkewe na si vinginevyo."
Diamond Platinum akimkabidhi ufunguo ya gari aina ya Toyota Fun Cargo marehemu Gurumo.nRuge ni Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa kampuni ya Clouds Media Group ya jijini Dar esSalaam. Mbali na kujulikana kuwa kadi hiyo ipo mikononimwa Ruge, gazeti hili lilichimba na kugunduammiliki halali wa gari hilo aliyeteuliwa namarehemu Gurumo kabla mauti kumkuta.
Sikia chanzo kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini, chanzo chetu kilisema: "Mgogoro uliopo kati ya watotowa marehemu ni kazi bure tu. Lile gari ameachiwa mke wa marehemu, huo ndiyo ukweli wa mambo."Akaongeza: "Ndiyo maana hata marehemu alimwagiza Diamond (Nasibu Abdul) ampatie Ruge kadi ya gari ili abadilishe jina liwe namkewe. Watoto wanazozana bure tu.
Diamond naye ni, kweli kabisa, mzee (marehemu Gurumo) aliniagiza nimpe kadi Ruge ili ashughulikie ubadilishwaji wa jina, ndivyo nilivyofanya. Mpakasasa bado Ruge anaendelea kushughulikia. Diamond hakufafanua zaidi, hata pale alipoulizwa maswali mengine, alisema atafutwe Ruge kwa maelezo kuwa anaweza kutoaufafanuzi mzuri zaidi.
Ruge sasa alipopatikana kwa njia ya simu hakuuma maneno, aliweka wazi kuwa ni kweli kadi ipo kwake na kwamba alipewa na Diamond ikiwa ni maagizo ya marehemu Gurumo ibadilishwe jina, liwe na mkewe. Ujue marehemu Gurumo kabla hajatutoka alishtukia kuwepo na mgogoro juu ya gari hilokwa wanaye hivyo akamuomba Diamond kwa kipindi hicho asimpatie kadi ya gari mpaka itakapobadilishwa na kuwa na jina la mkewe,"alisema Ruge na kuongeza:"
Baada ya marehemu kuulizwa sababu yakuchukua uamuzi huo alisema kuwa anayestahilikuwa mmiliki wa gari hilo ni mkewe kwanialiyempatia gari alikuwa na lengo la kumsaidiayeye na si watoto wake, sasa gari lingeandikwa jina lake lingeleta utata zaidi wa hayayanayoanza kujitokeza sasa.
"Mzee Gurumo enzi za uhai wake Ruge anaendelea kufafanua, marehemu alisema watoto bado wana nguvu tofauti na mkewe ambaye tayari ameshazeeka hivyo ni vyema ikitumika kumsaidia, kwa hiyo mrithi halali wa hilo gari kwa mujibu wa marehemu mwenyewe ni mkewe na si vinginevyo."