Kadi ya Mualiko wa kuapishwa Raila Odinga yatolewa.. Ataapishwa Sikukuu ya Uhuru wa Kenya (12 Desemba)

Kadi ya Mualiko wa kuapishwa Raila Odinga yatolewa.. Ataapishwa Sikukuu ya Uhuru wa Kenya (12 Desemba)

Hii kadi wamepewa viongozi gani? wa nchi hata za hapa jirani, na muitikio upoje? wamekubari kwenda au... wana hudhuru?
 
Najiuliza RAILA ataenda kukaa ofisi/Ikulu ipi?

Kusingekuwa na uwezekano wa huyu jamaa akagombea ubunge akaachana na urais?
 
Anaemuuzia bangi Raila inabidi apunguze dozi mzee anaenda mrama sasa ivi kichwa imejaa moshi itakua.
 
Watu kama hawa wangekuwa bongo kwa watu tusiojaribiwa ndo wangejua namna ujinga wa hivi unavyodhibitiwaga
 
Nionyeshe rafiki zako nijue tabia zako bhasi huyo ndo RAO rafiki wa damu wa....
 
Nmeishia kucheka tu...nani atamuapisha au atajiapisha mwenyewe
 
Naona RAO amepamiss sana lupango (jela)! Mfanyieni fadhila ya kumpeleka jela! Amekumbuka dona chungu na maharage yenye wadudu! Pia zile bukta za wafungwa amezimiss sana! Kwa kuapishwa ni wazi kuwa atakwenda jela!
 
Nitashangaa sana kama Magufuli atakwepa kuhudhuria hili tukio.
Hiki ndio kipimo cha urafiki wa kweli kati ya Raila na Magufuli.
 
Back
Top Bottom