Uchaguzi 2020 Kadiri siku zinavyosogea wanachama na wafuasi wa CHADEMA wanatepeta

Uchaguzi 2020 Kadiri siku zinavyosogea wanachama na wafuasi wa CHADEMA wanatepeta

Huu uzi huu mmmh walioutoa wanajua wanachokifanya kweli???
Wazalendo maslahi wanajaribu,kumwaminisha m.kiti wao kuwa Mambo ni mazuri upande wao ,ili angalao waendeelee kupata mlo was siku hats kufikia october28. Ikiwa bahati yao mbaya unga utamwsgika wakati wowote hats kabla ya mufa huo.
 
Malunde = Mawingu.

Bwana Mawingu kama kutepeta ni kuwa na usongo zaidi ili kumwadabisha mtu Oct 28, basi uko sahihi kabisa.

Wasalimie ma poti hapo Chatto.

Hiiiii Bagosha !!!!!
 
Malunde = Mawingu.

Bwana Mawingu kama kutepeta ni kuwa na usongo zaidi ili kumwadabisha mtu Oct 28, basi uko sahihi kabisa.

Wasalimie ma poti hapo Chatto.

Hiiiii Bagosha !!!!!
Ndio hoja za kuichachafya Ccm?
 
Ndio hoja za kuichachafya Ccm?

Wewe salimia ma poti huko nyumbani. Mambo ya Oct 28 sisi na ma poti hatuyawezi.

Si umeona hadi tuna T2020JPM yaliyopo kinyume cha sheria?

Si unajua kinyume cha sheria huwa tunawasiliana na ma poti kikwetu kwetu majukwaani?

Si unajua sheria sisi huwa hazituhusu ila wale?

Si unajua tulipo sasa hivi upuuzi wote tunaofanya dunia inatuona?

Si unajua kwa hali ya afya ililazimu kinunda wa luangwa aje bila kupingwa ili naye atumie raslimali za taifa kinyume cha sheria kusaidia kwa lolote kwenye mapambano?

Si unajua tunavyochukiwa?

Yapo lukuki jombi. Ushauri wa bure andaa mapoti kumpokea jiwe akachunge wale ng'ombe na farasi wake.

Lissu alishasema hatalipiza visasi!
 
Mfumo unawabeba CCM
watu hawataki bra bra[emoji16][emoji16]
Kuna uchaguzi hapa
2540787_JamiiForums2000245234.jpg
 
Tulishaambiwa kufikia 2020 CHADEMA kitakuwa kimekufa,ongea habari za TLP/UDP vyama ambavyo viko hai,vyama ambavyo vina wagombea na wafuasi makini achana na CHADEMA chama kilichokufa.
Mbowe anaanguka, Lissu anaanguka na wabunge wenu wenye makelele wanaanguka,
Sasa hapo chama kitakuwapo tena.
Nachokiona kwa Mbowe atatafuta ki site hapo Dar aanze kupiga mziki, angalau mambo yawe sawa.
Na TL huyooo kwa Robert Amsterdam wakajadili hizi haki zao wanazozitaka huko
 
Hawaamini kama siku zimeisha labda wanategemea Robert wao ataenda kukata rufaa kuomba kuongeza mda wa kampeni
 
Mgombea wa udiwani huku kwetu wa CHADEMA kashauza kata tayari.
 
Magufuli kauliza katenda dhambi gani asipewe tena miaka 5.. sasa majibu yake haya hapa

1. Hajatoa ajira miaka 5

2.Hajaongeza mishahara kwa miaka 5

3.Ameongeza makato HESLB toka 8% to 15%

4.Amefukuza wafanyakazi na hajawapa hata senti tano kisa vyeti feki

5.Kaondoa fao la kujitoa NSSF

6.Kaondoa wanunuzi binafsi wa kahawa waliokuwa wanatoa bei nzuri

7.Karudisha gharama za matibabu kwa watoto na wajawazito

8.Anatoza maiti kodi kuzitoa mochwari

9.Kavunja katiba ya nchi kuzuia wapinzani kufanya mikutano halali ya siasa

10.Katunga sheria kandamizi kukomoa watu

11.Kabambikia kesi watu kwa visasi na chuki

12. Kafilisi wafanyabiashara kwa chuki binafsi

13.Kathibiti mashirika ya kutetea haki za binadamu

14. Kadhibiti na kutisha vyombo vya habari na kuviamrisha vimtangaze yeye tu na chama chake

15. Kavuruga sana mahusiano ya kimataifa

16. Kavuruga demokrasia na anataka wananchi waishi kama mifugo yake kufuata analotaka

17. Kazima bunge live na kulitumia bunge kama muhuri kufanya mambo yake

18. Mahakama imebinywa na imekuwa siyo huru tena

19. Kawadhibiti viongozi wa dini wanaomkosoa na kumwambia ukweli

20. Kanunua ndege bila kufuata sheria ya PPRA

21. Watu wengi wameuwawa na kupotea na kutekwa

22. Amelea na kulinda kikosi kazi cha "watu wasiojulikana"

23. Amepandikiza hofu,ukatili na dhuluma kama nyenzoza siasa mpya za Tanzania na utu umetoweka

24. Ameasisi ufisadi mkubwa sana Yeye na ndugu zake aliowachomeka serikalini na kuiba fedha kwenye miradi ya serikali kama Mayanga Contractors na Mbutu Contractors

25. Kakivuruga chama chake na kukimega vipande vipande

26. Kajenga uwanja wa ndege kwao bila ya ruhusa ya bunge wala Baraza la mawaziri.

Ongeza Sababu zako kwanini Magufuli Hastaili Kuwa Raisi wa TANZANIA..
Unaropoka hujui unachosema...Mmezeshana hizi hoja na kwa sababu mmekaa kupinga kila kitu hamna records ya yaliyofanywa kwa taarifa yako unachosema sio kweli....Kajipangeni!
 
hayo ni mawazo ya watu wenye utapiamlo wa akili!
Kama ni kweli jilizeni;
1. Kwanini nguvu kubwa inatumika sana kuwazuia wapinzani hasa CDM?
2. Kwanini hadi mapolisi, nec na usalama wameamua rasmi kusaidia ccm?
najua una akili ndogo, hebu jitahidi kufikiri japo kwa kutumia hiyo akili ndogo!
 
Kama chama hakikufa kwa miaka yote 5 ya ukandamizaji mkubwa wa yule nduli hakitakufa kamwe tena ndio kimesitawi kupindukia sasa, fanyenyi mfanyayo yote yanakikomaza chama na kukiinua.
 
Mwenye ile video ya Salum Mwalimu akiwa Nachingwea atuwekee tafadhali.
 
Nachingwea jana 07 Oktoba, Salum Mwalimu anampasua Meko.
 
Tulishaambiwa kufikia 2020 CHADEMA kitakuwa kimekufa,ongea habari za TLP/UDP vyama ambavyo viko hai,vyama ambavyo vina wagombea na wafuasi makini achana na CHADEMA chama kilichokufa.
Kwani Kizimaa sasa KimekufaaaChaliiiiiiiii maana Sasa ivi Kuna CHADEMA MFU NA TUNDU LISSU MKATA ROHO.......Mwisho Wa wrote Hawa ni 28th
 
Back
Top Bottom