Uchaguzi 2020 Kadiri siku zinavyosogea wanachama na wafuasi wa CHADEMA wanatepeta

Huu uzi huu mmmh walioutoa wanajua wanachokifanya kweli???
Wazalendo maslahi wanajaribu,kumwaminisha m.kiti wao kuwa Mambo ni mazuri upande wao ,ili angalao waendeelee kupata mlo was siku hats kufikia october28. Ikiwa bahati yao mbaya unga utamwsgika wakati wowote hats kabla ya mufa huo.
 
Malunde = Mawingu.

Bwana Mawingu kama kutepeta ni kuwa na usongo zaidi ili kumwadabisha mtu Oct 28, basi uko sahihi kabisa.

Wasalimie ma poti hapo Chatto.

Hiiiii Bagosha !!!!!
 
Malunde = Mawingu.

Bwana Mawingu kama kutepeta ni kuwa na usongo zaidi ili kumwadabisha mtu Oct 28, basi uko sahihi kabisa.

Wasalimie ma poti hapo Chatto.

Hiiiii Bagosha !!!!!
Ndio hoja za kuichachafya Ccm?
 
Ndio hoja za kuichachafya Ccm?

Wewe salimia ma poti huko nyumbani. Mambo ya Oct 28 sisi na ma poti hatuyawezi.

Si umeona hadi tuna T2020JPM yaliyopo kinyume cha sheria?

Si unajua kinyume cha sheria huwa tunawasiliana na ma poti kikwetu kwetu majukwaani?

Si unajua sheria sisi huwa hazituhusu ila wale?

Si unajua tulipo sasa hivi upuuzi wote tunaofanya dunia inatuona?

Si unajua kwa hali ya afya ililazimu kinunda wa luangwa aje bila kupingwa ili naye atumie raslimali za taifa kinyume cha sheria kusaidia kwa lolote kwenye mapambano?

Si unajua tunavyochukiwa?

Yapo lukuki jombi. Ushauri wa bure andaa mapoti kumpokea jiwe akachunge wale ng'ombe na farasi wake.

Lissu alishasema hatalipiza visasi!
 
Mfumo unawabeba CCM
watu hawataki bra bra[emoji16][emoji16]
Kuna uchaguzi hapa
 
Tulishaambiwa kufikia 2020 CHADEMA kitakuwa kimekufa,ongea habari za TLP/UDP vyama ambavyo viko hai,vyama ambavyo vina wagombea na wafuasi makini achana na CHADEMA chama kilichokufa.
Mbowe anaanguka, Lissu anaanguka na wabunge wenu wenye makelele wanaanguka,
Sasa hapo chama kitakuwapo tena.
Nachokiona kwa Mbowe atatafuta ki site hapo Dar aanze kupiga mziki, angalau mambo yawe sawa.
Na TL huyooo kwa Robert Amsterdam wakajadili hizi haki zao wanazozitaka huko
 
Hawaamini kama siku zimeisha labda wanategemea Robert wao ataenda kukata rufaa kuomba kuongeza mda wa kampeni
 
Mgombea wa udiwani huku kwetu wa CHADEMA kashauza kata tayari.
 
Unaropoka hujui unachosema...Mmezeshana hizi hoja na kwa sababu mmekaa kupinga kila kitu hamna records ya yaliyofanywa kwa taarifa yako unachosema sio kweli....Kajipangeni!
 
hayo ni mawazo ya watu wenye utapiamlo wa akili!
Kama ni kweli jilizeni;
1. Kwanini nguvu kubwa inatumika sana kuwazuia wapinzani hasa CDM?
2. Kwanini hadi mapolisi, nec na usalama wameamua rasmi kusaidia ccm?
najua una akili ndogo, hebu jitahidi kufikiri japo kwa kutumia hiyo akili ndogo!
 
Kama chama hakikufa kwa miaka yote 5 ya ukandamizaji mkubwa wa yule nduli hakitakufa kamwe tena ndio kimesitawi kupindukia sasa, fanyenyi mfanyayo yote yanakikomaza chama na kukiinua.
 
Mwenye ile video ya Salum Mwalimu akiwa Nachingwea atuwekee tafadhali.
 
Nachingwea jana 07 Oktoba, Salum Mwalimu anampasua Meko.
Your browser is not able to display this video.
 
Tulishaambiwa kufikia 2020 CHADEMA kitakuwa kimekufa,ongea habari za TLP/UDP vyama ambavyo viko hai,vyama ambavyo vina wagombea na wafuasi makini achana na CHADEMA chama kilichokufa.
Kwani Kizimaa sasa KimekufaaaChaliiiiiiiii maana Sasa ivi Kuna CHADEMA MFU NA TUNDU LISSU MKATA ROHO.......Mwisho Wa wrote Hawa ni 28th
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…