Kadogosa, bila shaka kimkataba, wakorea waliotengeneza treni yetu wanapaswa kuwa wanatembea nayo kwa walau miaka mitatu ili kubaini mapungufu

TRC washirikiane na tanesco pamoja na hao wakorea bila hivo watakosa abiria
 
kwani si walisema treni yetu umeme ukikata inatumia mafuta na abiria hatagundua kuwa kuna hitilafu ya umeme?
 
Nyie majangili mnaiba bila kusumbuliwa
 
Ile syndrome ya kuamini wazungu bado ipo? Mnataka vitu soft wakati wazungu hao ndo wamewauzia dini na.wao wamesha achana nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…