johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
Kichaa mnaye hapo Ufipa st 🐼Shujaa Magufuli au Kichaa Magufuli? Hebu nyoosha maelezo Joe.
Wakipeleka kesi mahakamani ni simu moja tu kesi inafutwaHivyo vitisho havina maana, kusanya ushahidi piga kesi ya uhujumu uchumi. Ni upuuzi kuhujumu mega projects
Kichaa wenu alikufa kiboya sana anachezea kibano tu huko Jehannam. Mungu fundi sana.Kichaa mnaye hapo Ufipa st 🐼
Ndio sababu Shujaa Magufuli alitaka Rostam Aziz awe Mbunge wa Morogoro mjini 🤣🤣🔥chadema hao
Sasa si awataje!!!Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo
Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo
Source Mwananchi
Mlale unono 😃
Ndesa alidanji na kisado cha Mbege juu ya meza 🐼Kichaa wenu alikufa kiboya sana anachezea kibano tu huko Jehannam. Mungu fundi sana.
Vinara wa Ruti za Morogoro na Dodoma ni Wawili tu 🐼Sasa si awataje!!!
Embarrassing.
Huyo ni wewe? Mbona mzuri hivyo?Wanyongwe tu hao wahujum uchumi.
Na ni wabunge wa CCMVinara wa Ruti za Morogoro na Dodoma ni Wawili tu 🐼
Halafu kuna wajinga wanasema CCM haina mbadala!Yule Kadogosa ni mjinga kabisa, na ameshahisi anakwenda kufukuzwa, wote tunajua na tunaona uwezo duni wa watumishi wa umma kuweza kuendesha miradi. Mchawi mkuu wa TRC ni TRC wenyewe wakishirikiana na CCM na kwa hakika SGR itakufa kama inavyokufa mwendokasi.
Nyerere day mbali, useme haufiki krismasiHuu mradi haufiki Nyerere day
Umesema kweli. Huyo Kadogosa ndiyo mkurugenzi mkuu, halafu anaanza kulalamika, huo ni upuuzi wa kutaka aonekane anafanya kazi wakati huenda ni poor performer.Hivyo vitisho havina maana, kusanya ushahidi piga kesi ya uhujumu uchumi. Ni upuuzi kuhujumu mega projects
ana nguvu haujawai waza wala kufkir ,,wanaweza kumuondoa mtu yeyote uhai anapocheza na maslah Yao,!!Hilo lazima lingetikea tu maana mradi unaziba fursa za matajiri na vigogo wengi. Awataje hadharani tuwapige mawe huku mtaani hao wasaliti wa nchi
Krismas kuna ile TREN ya Komredi Polepole 😂Nyerere day mbali, useme haufiki krismasi