Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Sasa si awataje!!!
Embarrassing.
 
Kipande cha reli SGR DSM Morogoro Kilosa Dodoma tayari imekuwa changamoto ?

 
Yule Kadogosa ni mjinga kabisa, na ameshahisi anakwenda kufukuzwa, wote tunajua na tunaona uwezo duni wa watumishi wa umma kuweza kuendesha miradi. Mchawi mkuu wa TRC ni TRC wenyewe wakishirikiana na CCM na kwa hakika SGR itakufa kama inavyokufa mwendokasi.
Halafu kuna wajinga wanasema CCM haina mbadala!
 
Hivyo vitisho havina maana, kusanya ushahidi piga kesi ya uhujumu uchumi. Ni upuuzi kuhujumu mega projects
Umesema kweli. Huyo Kadogosa ndiyo mkurugenzi mkuu, halafu anaanza kulalamika, huo ni upuuzi wa kutaka aonekane anafanya kazi wakati huenda ni poor performer.

Kiongozi yeyote mahali alipo, anatakiwa apambane kutatua changamoto siyo kulalamika.

Kadogosa awaambie watanzania, ni nani huyo anayehujumu SGR, na yeye kama aliyepewa dhamana ya kuhakikisha SGR inafanya kazi kwa ufanisi, amechukua hatua gani dhidi ya hao wanaoihujumu. Isije ikawa uwezo wake wa kutatua changamoto ni duni, na sasa ameanza kutafuta visingizio.
 
Aisee Hawa watu Huwa w
Hilo lazima lingetikea tu maana mradi unaziba fursa za matajiri na vigogo wengi. Awataje hadharani tuwapige mawe huku mtaani hao wasaliti wa nchi
ana nguvu haujawai waza wala kufkir ,,wanaweza kumuondoa mtu yeyote uhai anapocheza na maslah Yao,!!
 
Back
Top Bottom