Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Bwana Kado tuanze na aliyepewa tender ya mabehewa ya royal😀😀😀
 
Nina mashaka makubwa na mradi huo wa SGR; na hasa kama 'Chura Kiziwi' kwa miujiza ataendelea kwenye hiyo nafasi aliyopo sasa.
 
Huyo kadogosa kazi imemshinda anatafuta ppakutokea.

Kama ni kweli kasema hivyo, kwa usemi wake huo tu, kishajibainisha maji yamemzidi kimo.

Awachie ngazi awape watu wapige hiyo kazi kimya kimya na wapige pasi changamoto zote kimya kimya.

Anatenda kwa maneno badala ya vitendo? ukondoo huo.
 
Nina mashaka makubwa na mradi huo wa SGR; na hasa kama 'Chura Kiziwi' kwa miujiza ataendelea kwenye hiyo nafasi aliyopo sasa.
Baada ya kuona hakuna tija yyt ya kimaendeleo katika miradi na mashirika yaliyokuwa yakiendeshwa na Serikali, Mkapa aliamua kuyabinafsisha, huyo ni mkapa....sembuse mama Samia!

Dhamira inaweza kuwa njema tatizo wasimamizi. Magufuli alitumbua watu bandarini sio mara moja kiasi cha kufikia hatua ya kuvunjika moyo baada ya kuwa madudu na makandokando yalikuwa ni yaleyale
 
Kweli..
Kutokuwajibika kwenu
Uzembe
Kufanya kazi kwa mazoea
Kushinda maofisini badala kuwa field
Kutokusikiliza maoni na kujifanya mnajuwa
Ukosefu wa ujuzi
...........
 
Atapangiwa kazi nyingine sasa hivi,hawezi akagusa maslahi ya wakubwa akabaki salama. Amuulize Jerry Slaa😉😉
 
Ndio suluhisho. Serikali ibakie kusimamia ukusanyaji kodi, uendeshaji wafanye wawekezaji
Walifanya kwenye dhahabu matokeo yake tumeachiwa Mpango ya Tora Bora na benki Kuu kutokuwa na mapato yatokanayo na uuzaji wadhahabu
 
Ni uzembe wa vyombo vya Usalama. Wanaujua ukweli maana wana taarifa nyingi lkn wanafukia vichwa mchangani kama mbuni. Watu wa namna hii hawakusitahili kuzaliwa kimsingi wanajilaani wenyewe kwa kununulika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…