Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kadogosa: Kuna njama zinafanywa Kuhujumu treni ya SGR na hazijaanza Leo na tumeshawabaini Wanaotuhujumu!

Kiongozi anaongea maneno ya kwenye khanga.
Kiongozi unaongeaje upuuzi?
Ushahidi upo peleka police
Ushahidi haupo but unajua hujuma police wapo , tiss wapo pccb wapo omba msaada huko. Media zitakusaidia nini?
Au umeona hutoshi kwenye hiyo nafasi unatafuta kiki!
Haya ndio yale, mpaka Rais analaumu huku yeye ni amiri mkuu
washafanya yao ndo maana ukaambiwa
 
Babako ndiye shoga ndiyo maana huna kili choco wewe, mashoga mnajifanyaga wababe kumbe ukali wa sindano tu nyuma uzi unaingia.
Mamaako ananijua vizuri kama Baltasar Engonga. Hivyo kuwa na heshima unapoongea na baba yako.
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Sitashangaa wakitajwa CHADEMA
 
Taifa linaangamia kwa kukosa uzalendo.
Majizi ya ccm hovyo sana yamekuka yamevimbiwa hadi uzakendo umewatoka.
Maviongizi yasiokuwa na uzalendi na nchi yanakwenda kununua matreni mabovu kwa bei kubwa ili yapige pesa .
Matreni yao mabovu yanaanza kuwaumbua wanalalamika uzalendo.
Ifike mahala maviongozi kama haya yaliyoenda kununua hayo matreni wanyongwe hadharani
 
Defensive mechanism.. inasemekana mama akirudi kuna mkeka upo tayari
 
Chadema walikuwa wanaita ni maendeleo ya vitu ili kuprove theory yao wameingia kazini kukata nyaya sasa
 
Kinachosikitisha ni wengi wameamini hii drama alaf vitu real kama utekaji ndo tukaaminishwa ndo drama, my poor country people
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Tetesi
 
Kufuatia changamoto za hapa na pale zinazoipata TREN ya SGR boss wa TRC Masanja Kadogosa amesema Kuna njama zinafanywa Kuhujumu mradi huo

Njama hizi hazijaanza Leo ni za muda mrefu na tayari wameshawabaini miongoni mwa wanaowahujumu na watawashughulikia ipasavyo

Source Mwananchi

Mlale unono 😃
Watakuwa mabeberu hawa😃😃
 
Kiongozi anaongea maneno ya kwenye khanga.
Kiongozi unaongeaje upuuzi?
Ushahidi upo peleka police
Ushahidi haupo but unajua hujuma police wapo , tiss wapo pccb wapo omba msaada huko. Media zitakusaidia nini?
Au umeona hutoshi kwenye hiyo nafasi unatafuta kiki!
Haya ndio yale, mpaka Rais analaumu huku yeye ni amiri mkuu
Lazima aongee Tujue, unataka atunze siri ili iweje. Ongea Kadogosa tuwajue
 
Dr monroe aliwahi sema if the purpose of a thing is not known abuse is inevitable. Hii ina maana lazima tuwe principles katika kuendesha taasisi zetu zote.Siasa na uchawa haviwezi kuwa mbadala wa princeples.
 
Huu ni uongo na kichaka Cha kujificha kukwepa kuwajibika Kwa sababu za uzembe.

Hakuna anaweza kufanya hivyo maana ni hatari kwake,so asitafute visingizio vya kijinga
Hayo maneno ya Kadogosa kama ndio angeyatamka Rais Samia bado ungetoa comment kama hiyo?
 
Back
Top Bottom