HApo unataka kukata la express bei dar moro ni 20k. Lile linalosimama humo kati bei ni 13kHABARI WAKUU,
Hii imekaaje wadau,
nilisafiri na kijana wangu kipindi shule zimefunguliwa kutoka dar kwenda moro nililipa sh, 13,000 na kijana wangu ikawa ni 6,500 sasa hivi nikitaka kukata Tiket mtandaon naambiwa gharama ya mimi tu ni 20,000 asa hapa wananivuruga eti shida ipo wapi kwaanaejua tafadhari
Na
NYuma ya hiyo menu unachagua kwanza kama ni express ama ordinary
Kwangu haipoNYuma ya hiyo menu unachagua kwanza kama ni express ama ordinary
Kwahiyo Kilosa hawajawekaUkitoka Dodoma ni kituo cha mwisho kabla haujafika Jakaya Kikwete Morogoro town
haya click hiyo "search" hapo utaona
haya click hiyo "search" hapo utaona
lakini naona hapo umeweka tarehe ya leo, chagua tarehe ya siku unayotaka kusafiri
hizo ordinary line zote moro - dar ni 13,000 chagua unataka la muda gani tu hapo then chagua siti na uendelee mkuu
Nilitaka express mkuuhizo ordinary line zote moro - dar ni 13,000 chagua unataka la muda gani tu hapo then chagua siti na uendelee mkuu
okay, 20k hapo chapuNilitaka express mkuu
Check kideteKwahiyo Kilosa hawajaweka
ShukuraniCheck kidete
Tatizo TRC nao wame tofautisha muda ukichagua ya saa 6:00 asubuh bac ni Express ordinary ni kuanzia saa 9 asubuhi nibora wange pishanisha kwa muda mchache mfano kutoka ya saa 6: yakwenda dodoma iwekwe ya saa 7: ili kupata hata abiria wanjiani kwenda moroUlikuwa unakata express