Kupe wanapamba moto dakika za lala salama, huku Lugumi kule Samia!
Your browser is not able to display this video.
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan, kwani ndiye kiongozi wa nchi na amekuwa akishuhudia juhudi zake kubwa za kutafuta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Kadogosa alibainisha kuwa, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, amemuona akifanya kazi kwa bidii na hata kumsindikiza kwenye safari mbalimbali zinazolenga kutafuta fedha kwa ajili ya kufanikisha miradi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
Kauli hiyo aliitoa leo wakati wa misa maalumu ya kumuombea Rais Samia, ambayo pia iliendana na kumbukumbu ya kifo cha baba yake mzazi, Daudi Kungu Kadogosa. Misa hiyo ilifanyika katika mtaa wa Mwakibuga, mjini Bariadi, nyumbani kwa mkurugenzi huyo wa TRC.
“Mimi ni mteule wa Rais Samia. Mara nyingi ninazungumza naye, nakaa naye, na wakati mwingine ninasafiri naye. Namshuhudia mama yetu anavyohangaika kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kwa hiyo, ni haki kabisa kumuombea Rais wetu,” alisema Kadogosa.
Aidha, alitoa wito kuwa Tanzania ina Rais mmoja tu ambaye anapaswa kulindwa na kuombewa na kila Mtanzania ili kufanikisha maendeleo ya taifa.
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan, kwani ndiye kiongozi wa nchi na amekuwa akishuhudia juhudi zake kubwa za kutafuta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Kadogosa alibainisha kuwa, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, amemuona akifanya kazi kwa bidii na hata kumsindikiza kwenye safari mbalimbali zinazolenga kutafuta fedha kwa ajili ya kufanikisha miradi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
Kauli hiyo aliitoa leo wakati wa misa maalumu ya kumuombea Rais Samia, ambayo pia iliendana na kumbukumbu ya kifo cha baba yake mzazi, Daudi Kungu Kadogosa. Misa hiyo ilifanyika katika mtaa wa Mwakibuga, mjini Bariadi, nyumbani kwa mkurugenzi huyo wa TRC.
“Mimi ni mteule wa Rais Samia. Mara nyingi ninazungumza naye, nakaa naye, na wakati mwingine ninasafiri naye. Namshuhudia mama yetu anavyohangaika kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kwa hiyo, ni haki kabisa kumuombea Rais wetu,” alisema Kadogosa.
Aidha, alitoa wito kuwa Tanzania ina Rais mmoja tu ambaye anapaswa kulindwa na kuombewa na kila Mtanzania ili kufanikisha maendeleo ya taifa.
Kwahiyo sisi tunalipa kodi, yeye anachukua kodi zetu ànaenda kuzurura kuomba hela?
Halafu mnailaumu serikali kufunga kiwanda na kumpa eneo Mwamposa awaombee mpate kazi.
Ameonesha kiwango Cha juu Cha unjinga!
Badala Rais ajenge mifumo Bora ya uchumi ya uzalishaji Mali na kupanua wigo wa Ajira rasmi na zisizo rasmi katika secta za
Kilimo
Viwnda
Biashara nk
Ili nchi izalishe na kuexport nje huku ikibiresha maisha ya watu wake. Unataka tumuombee kwenda kuongeza deni la taifa na kuaibisha nchi kuwa omba omba huku foreigners wakimiliki na kusimamia njia muhimu za uchumi kama Bandari, mbuga za wanyama madini with exchange of military buses na magari ya polisi kudhibiti Raia watakaohoji!
Mjinga mmoja yeye ashakum sio matusi Kadogosa
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan, kwani ndiye kiongozi wa nchi na amekuwa akishuhudia juhudi zake kubwa za kutafuta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Kadogosa alibainisha kuwa, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, amemuona akifanya kazi kwa bidii na hata kumsindikiza kwenye safari mbalimbali zinazolenga kutafuta fedha kwa ajili ya kufanikisha miradi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
Kauli hiyo aliitoa leo wakati wa misa maalumu ya kumuombea Rais Samia, ambayo pia iliendana na kumbukumbu ya kifo cha baba yake mzazi, Daudi Kungu Kadogosa. Misa hiyo ilifanyika katika mtaa wa Mwakibuga, mjini Bariadi, nyumbani kwa mkurugenzi huyo wa TRC.
“Mimi ni mteule wa Rais Samia. Mara nyingi ninazungumza naye, nakaa naye, na wakati mwingine ninasafiri naye. Namshuhudia mama yetu anavyohangaika kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kwa hiyo, ni haki kabisa kumuombea Rais wetu,” alisema Kadogosa.
Aidha, alitoa wito kuwa Tanzania ina Rais mmoja tu ambaye anapaswa kulindwa na kuombewa na kila Mtanzania ili kufanikisha maendeleo ya taifa.
Machawa yakishashiba, ni kujamba Jamba tu, sasa Trump, eron musk, wall ombewa na nani wakaweza kujenga makampuni makubwa, inatia kichefu chefs, kuona matatizo ya nchi hii yatatatuliwa na maombi tu badala ya kutumia bongo, sayansi na tekinolojia! Fuckers
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan, kwani ndiye kiongozi wa nchi na amekuwa akishuhudia juhudi zake kubwa za kutafuta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Kadogosa alibainisha kuwa, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, amemuona akifanya kazi kwa bidii na hata kumsindikiza kwenye safari mbalimbali zinazolenga kutafuta fedha kwa ajili ya kufanikisha miradi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
Kauli hiyo aliitoa leo wakati wa misa maalumu ya kumuombea Rais Samia, ambayo pia iliendana na kumbukumbu ya kifo cha baba yake mzazi, Daudi Kungu Kadogosa. Misa hiyo ilifanyika katika mtaa wa Mwakibuga, mjini Bariadi, nyumbani kwa mkurugenzi huyo wa TRC.
“Mimi ni mteule wa Rais Samia. Mara nyingi ninazungumza naye, nakaa naye, na wakati mwingine ninasafiri naye. Namshuhudia mama yetu anavyohangaika kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kwa hiyo, ni haki kabisa kumuombea Rais wetu,” alisema Kadogosa.
Aidha, alitoa wito kuwa Tanzania ina Rais mmoja tu ambaye anapaswa kulindwa na kuombewa na kila Mtanzania ili kufanikisha maendeleo ya taifa.
Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais Samia Suluhu Hassan, kwani ndiye kiongozi wa nchi na amekuwa akishuhudia juhudi zake kubwa za kutafuta fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo.
Kadogosa alibainisha kuwa, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia, amemuona akifanya kazi kwa bidii na hata kumsindikiza kwenye safari mbalimbali zinazolenga kutafuta fedha kwa ajili ya kufanikisha miradi kama ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
Kauli hiyo aliitoa leo wakati wa misa maalumu ya kumuombea Rais Samia, ambayo pia iliendana na kumbukumbu ya kifo cha baba yake mzazi, Daudi Kungu Kadogosa. Misa hiyo ilifanyika katika mtaa wa Mwakibuga, mjini Bariadi, nyumbani kwa mkurugenzi huyo wa TRC.
“Mimi ni mteule wa Rais Samia. Mara nyingi ninazungumza naye, nakaa naye, na wakati mwingine ninasafiri naye. Namshuhudia mama yetu anavyohangaika kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Kwa hiyo, ni haki kabisa kumuombea Rais wetu,” alisema Kadogosa.
Aidha, alitoa wito kuwa Tanzania ina Rais mmoja tu ambaye anapaswa kulindwa na kuombewa na kila Mtanzania ili kufanikisha maendeleo ya taifa.