Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Kweli,kama walikuwa wanafungulia maji ya bwawa la Mtera kwenda mashambani ili tukose umeme unadhani watashindwa kuhujumu huu mradi!Na hicho ndicho wenzenu wanakitaka ili mpande mabasi yao, ndio maana hujuma zimeanza kwenye kuchelewesha mradi,wanahujumu kwenye kuweka nauli kubwa , na sasa watahujumu kwenye kuchelewesha muda ili ionekane halina tofauti kubwa na basi na baada ya hapo watahujumu miundombinu yake na kazi ya treni ya umeme itaishia hapo tutaendelea kupanda mabasi yao
Hakuna kitu kibaya kama kuruhusu wafanya biashara kuwa viongozi na wenye maamuzi ndani nchi