Kadogosa: Tumetumia umeme wa 336,000 kwenda na kurudi Dar - Morogoro

Kweli,kama walikuwa wanafungulia maji ya bwawa la Mtera kwenda mashambani ili tukose umeme unadhani watashindwa kuhujumu huu mradi!
 
Suala la kula umeme au kutokula hatulijui.

Kama ni 336000/= basi nauli itakua chini sana, tufanye hivi kila kichwa 20000×500=10,000,000/= kurudi dar 20000×500=10,000,000/=

Hapo ukitoa posho na vigharama vidogo, unapata faida sio chini ya m5 to 7 per day. Na kama wakiweza kwenda root 4 kwa siku aise watapiga hela kubwa sana
 
Aah wapi! Tanzania hii? Sahau kabisa..tuliambiwa hivi hivi wakati gesi ya Mtwara inafanyiwa utafiti. Imepatikana ila bado bei ya umeme inapanda.
 
Basi nauli inaweza kuwa 500-600 humo. Ikizidi hapo.
Eenh Mwenyezi Mungu nisaidia na mimi niwe kati ya wahusika katika uongozi wa nchi hii siku za. Usoni. Serikali inapiga hela safi sana.
Ndugu yangu kwa nauli walizowahi kutangaza/kupendekeza watu saba tu wanalipia umeme wa train hiyo na change inarudishwa! Abiria wengine wote waliobaki watakuwa wanalipia gharama za miundo mbinu!! Upo hapo!!??
 
Ndugu yangu kwa nauli walizowahi kutangaza/kupendekeza watu saba tu wanalipia umeme wa train hiyo na change inarudishwa! Abiria wengine wote waliobaki watakuwa wanalipia gharama za miundo mbinu!! Upo hapo!!??
Nipo acha nitafute nafasi serikalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…