MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
WAKUU nachukia na nashindwa kukubaliana na UKWELI na hali halisi.
Nilijigundua nina uwezo flani tangu nilipokuwa o level.
Kifupi ni kwamba ninauwezo wa kuskia kinachoendelea napokuwa nimelala/kusinzia.
Uwezo huu ulikuwa mkubwa kipindi nipo chuo yani kuna siku washkaji hawakuanini nilikuwa nimelala kwa takribani masaa ma2-2.5.
Nilipoamka washkaji wakaanza kunacharazia we jamaa unalala mchana imekuwa mjamzito?
Huwa sipendi watu naoishi nao wajue kwamba nina huu uwezo kwasababu nahisi ni kitu ambayo inaweza kuwafanya wakaishi namimi kwa machare na wasiwasi.
Ila jamaa aliporopoka vile nikajikuta namm naropoka "we unadhani nalalaga kizembe mloongea naweza kuwambia" nikaanza kuwambia baadhi ya mambo wakaanza kusema haukuwa umelala nikawambia mimi nilikuwa nimelala.
Kwanzia siku hiyo jamaa walikuwa makini sana kuongea ongea mambo Yao napokuwa rum nimelala.
Yani mimi nikiwa nimelala naweza kuskia na kukumbuka nikiamka yale yote niloskia nilipokuwa usingizini.
Na pia ukinigongea au kuniamsha kabla hata hujaniita jina nishastuka kwahyo huwa nawaachaga waniite tu kwa ushahidi na huwa wananiita mara moja tu nakuwa hewani.
Hata alarm huwa siwekag yani kama nahitaj kuamka asubuhi mapema bas about dk20 kabla nakuwa nishaamka tayari.
Sasa naona KADRI UMRI UNAVOSOGEA napungukiwa na huu uwezo.
Wataalamu vipi nitumie vyakula au dawa gani ili nibakie na uwezo wangu?
Nilijigundua nina uwezo flani tangu nilipokuwa o level.
Kifupi ni kwamba ninauwezo wa kuskia kinachoendelea napokuwa nimelala/kusinzia.
Uwezo huu ulikuwa mkubwa kipindi nipo chuo yani kuna siku washkaji hawakuanini nilikuwa nimelala kwa takribani masaa ma2-2.5.
Nilipoamka washkaji wakaanza kunacharazia we jamaa unalala mchana imekuwa mjamzito?
Huwa sipendi watu naoishi nao wajue kwamba nina huu uwezo kwasababu nahisi ni kitu ambayo inaweza kuwafanya wakaishi namimi kwa machare na wasiwasi.
Ila jamaa aliporopoka vile nikajikuta namm naropoka "we unadhani nalalaga kizembe mloongea naweza kuwambia" nikaanza kuwambia baadhi ya mambo wakaanza kusema haukuwa umelala nikawambia mimi nilikuwa nimelala.
Kwanzia siku hiyo jamaa walikuwa makini sana kuongea ongea mambo Yao napokuwa rum nimelala.
Yani mimi nikiwa nimelala naweza kuskia na kukumbuka nikiamka yale yote niloskia nilipokuwa usingizini.
Na pia ukinigongea au kuniamsha kabla hata hujaniita jina nishastuka kwahyo huwa nawaachaga waniite tu kwa ushahidi na huwa wananiita mara moja tu nakuwa hewani.
Hata alarm huwa siwekag yani kama nahitaj kuamka asubuhi mapema bas about dk20 kabla nakuwa nishaamka tayari.
Sasa naona KADRI UMRI UNAVOSOGEA napungukiwa na huu uwezo.
Wataalamu vipi nitumie vyakula au dawa gani ili nibakie na uwezo wangu?