Kadri unavyo iacha pwani ndio kadri unavyo kutana Mapishi ya hovyo

Kadri unavyo iacha pwani ndio kadri unavyo kutana Mapishi ya hovyo

Upishi uko ukanda wa pwani na kidogo mikoa kadhaa kutoka pwani, baada ya hapo hakuna mapishi, nenda huko Kanda ya Ziwa nenda jiji kama Mwanza hakuna kitu pale, chakula wanajua kujaza nyanya wakizania ndio upishi wenyewe, unakula.chakula kama unakula tope hakina radha. Nenda sijui huko Mara ni balaaa tupu kabisa kwenye upishi.

Kwa kifupi ukitoa ukanda wote wa pwani na jirarani zake huko kwingine hakuna mapishi.

Nilikaa Kigoma nyakati fulani niliondoka bila kula wali, sana nilikuwa nakula Ugari wao wa muhogo basi.
Asilimia ya wanaume wa pwani nguvu za kiume hakuna,kwa vyakula unavyopikiwa na dada zenu viungo kibao,ndo maana asilimia kubwa wanaume wa pwani mabwabwa kibao,hivi dume kama la mwanza,arusha,mbeya,singida,musoma humpikie mchele na mboga viungo kibao hutegemee atasifia mapishi ya kijinga,tumezoea ugali dona,na mboga zisizo na viungo sana,wanaume wa pwani wanapenda kula vitu vya ajabu mara biriani,mara pilau,chips ndo usiseme,mwanaume wa kweli anakula natural food sio chakula viungo kibao...
 
Asilimia ya wanaume wa pwani nguvu za kiume hakuna,kwa vyakula unavyopikiwa na dada zenu viungo kibao,ndo maana asilimia kubwa wanaume wa pwani mabwabwa kibao,hivi dume kama la mwanza,arusha,mbeya,singida,musoma humpikie mchele na mboga viungo kibao hutegemee atasifia mapishi ya kijinga,tumezoea ugali dona,na mboga zisizo na viungo sana,wanaume wa pwani wanapenda kula vitu vya ajabu mara biriani,mara pilau,chips ndo usiseme,mwanaume wa kweli anakula natural food sio chakula viungo kibao...
Uzi ufungwe mara 1 [emoji16]
 
Upishi uko ukanda wa pwani na kidogo mikoa kadhaa kutoka pwani, baada ya hapo hakuna mapishi, nenda huko Kanda ya Ziwa nenda jiji kama Mwanza hakuna kitu pale, chakula wanajua kujaza nyanya wakizania ndio upishi wenyewe, unakula.chakula kama unakula tope hakina radha. Nenda sijui huko Mara ni balaaa tupu kabisa kwenye upishi.

Kwa kifupi ukitoa ukanda wote wa pwani na jirarani zake huko kwingine hakuna mapishi.

Nilikaa Kigoma nyakati fulani niliondoka bila kula wali, sana nilikuwa nakula Ugari wao wa muhogo basi.
si upishi tu hata huduma kwa wateja ni sifuri. chukulia dodoma kwa mfano, ni nadra sana hoteli au lodge upate chai ya maziwa. unakuta breakfast ngumu kama chakula cha mbwa. chai ya rangi na slesi mbili tu
 
Upishi uko ukanda wa pwani na kidogo mikoa kadhaa kutoka pwani, baada ya hapo hakuna mapishi, nenda huko Kanda ya Ziwa nenda jiji kama Mwanza hakuna kitu pale, chakula wanajua kujaza nyanya wakizania ndio upishi wenyewe, unakula.chakula kama unakula tope hakina radha. Nenda sijui huko Mara ni balaaa tupu kabisa kwenye upishi.

Kwa kifupi ukitoa ukanda wote wa pwani na jirarani zake huko kwingine hakuna mapishi.

Nilikaa Kigoma nyakati fulani niliondoka bila kula wali, sana nilikuwa nakula Ugari wao wa muhogo basi.
Hata mapenz
 
Hata mapenz
Sasaayo mapenzi unayosemea,mbona kila kabila linajua mapenzi siku hizi,wakatinumebadilika unawezA kukutana na demu katoka pwani na mapenzi hajui,lakini ukukutana na manka anakuambia ingiza yote ndo utapagawa,
 
Mbona zanzibar wanapika dagaa mchuzi mwingi
Umeongea point vyakula vya wanzanzibar ni changamoto na ni jamii ya pwani mfano wali wa zenji na dagaa mim mwenyewe ulinishinda kama ulivyosema dagaa wanajaza maji sana

Ndo maana nikasema mtoa mada Kuna vitu vingi havijui alafu ameweka hitimisho akisahau jamii za pwani zenyewe zinatofautiana kwenye mapishi
 
Asilimia ya wanaume wa pwani nguvu za kiume hakuna,kwa vyakula unavyopikiwa na dada zenu viungo kibao,ndo maana asilimia kubwa wanaume wa pwani mabwabwa kibao,hivi dume kama la mwanza,arusha,mbeya,singida,musoma humpikie mchele na mboga viungo kibao hutegemee atasifia mapishi ya kijinga,tumezoea ugali dona,na mboga zisizo na viungo sana,wanaume wa pwani wanapenda kula vitu vya ajabu mara biriani,mara pilau,chips ndo usiseme,mwanaume wa kweli anakula natural food sio chakula viungo kibao...
Mimi mwenyewe viungo vingi kwenye chakula sipendi iwe ni kwenye pilau, mboga au hata chai achilia nguvu za kiume nikila maviungo mengi lazima niharishe
 
Mtoa Uzi naweza nikasema una upeo mdogo sana wa maisha yaani kitu usichokipenda wewe basi wanachokipenda ni wajinga au kitu usichokizoe unakiona kibaya

Mfano ukienda Uganda vyakula vingi wanachemsha hawakaangi kama huku Tanzania, mganda akija Tanzania atalalamika chakula Cha huku ni kibaya sababu yeye amezoea kula vyakula vya kuchemsha

Ukienda afrika ya kati utashangaa kuona viwavi jeshi wanakula kama mboga, ukienda china au India utashangaa sana kuona vyakula wanavyokula vya ajabu ajabu

Mazoea yako ya vyakula vya pwani yasiwe ni tiketi ya kuona jamii nyingine hawajui kupika, wao pia wanaona vyakula vya pwani ni vibaya ni mazoea tu ndo naweza sema hivyo
Mjomba chakula kitamu hua ni kitamu tu hata kikiwa cha kuchemsha na chakula kisichokua na ladha hakina ladha tu kwaio usichanganye mambo...upishi ni taaluma
 
Yani hakuna kitu nisichopenda kila unapoenda kula mgahawani dar,mboga zote wanaeka pilipili ya mwendokasi yani hawajui kama sio wote wanapenda viungo
 
Pwani ndio mjini Toka enzi na enzi,mababu wa kipwani washafanya sana biashara ya utumwa kwenda bush huko kuwabeba wasukuma na wanayamwezi na kuja kuwauza pwani Kwa waarabu na wazungu, magorofoa pwani yapo Toka miaka ya 1700 huko wakati huo huko bara watu wanavaa magome. Usishangae pia pwani kua na asili ya misosi sababu bahari ilifanya wapwani wapate recipes nyingi tofauti tofauti
Nimecheka balaa
 
Back
Top Bottom