Kadri unavyo iacha pwani ndio kadri unavyo kutana Mapishi ya hovyo

Asilimia ya wanaume wa pwani nguvu za kiume hakuna,kwa vyakula unavyopikiwa na dada zenu viungo kibao,ndo maana asilimia kubwa wanaume wa pwani mabwabwa kibao,hivi dume kama la mwanza,arusha,mbeya,singida,musoma humpikie mchele na mboga viungo kibao hutegemee atasifia mapishi ya kijinga,tumezoea ugali dona,na mboga zisizo na viungo sana,wanaume wa pwani wanapenda kula vitu vya ajabu mara biriani,mara pilau,chips ndo usiseme,mwanaume wa kweli anakula natural food sio chakula viungo kibao...
 
Uzi ufungwe mara 1 [emoji16]
 
si upishi tu hata huduma kwa wateja ni sifuri. chukulia dodoma kwa mfano, ni nadra sana hoteli au lodge upate chai ya maziwa. unakuta breakfast ngumu kama chakula cha mbwa. chai ya rangi na slesi mbili tu
 
Duuh mmefika hadi huko! mbona ghafla sana!
 
Hata mapenz
 
Hata mapenz
Sasaayo mapenzi unayosemea,mbona kila kabila linajua mapenzi siku hizi,wakatinumebadilika unawezA kukutana na demu katoka pwani na mapenzi hajui,lakini ukukutana na manka anakuambia ingiza yote ndo utapagawa,
 
Mbona zanzibar wanapika dagaa mchuzi mwingi
Umeongea point vyakula vya wanzanzibar ni changamoto na ni jamii ya pwani mfano wali wa zenji na dagaa mim mwenyewe ulinishinda kama ulivyosema dagaa wanajaza maji sana

Ndo maana nikasema mtoa mada Kuna vitu vingi havijui alafu ameweka hitimisho akisahau jamii za pwani zenyewe zinatofautiana kwenye mapishi
 
Mimi mwenyewe viungo vingi kwenye chakula sipendi iwe ni kwenye pilau, mboga au hata chai achilia nguvu za kiume nikila maviungo mengi lazima niharishe
 
Mjomba chakula kitamu hua ni kitamu tu hata kikiwa cha kuchemsha na chakula kisichokua na ladha hakina ladha tu kwaio usichanganye mambo...upishi ni taaluma
 
Yani hakuna kitu nisichopenda kila unapoenda kula mgahawani dar,mboga zote wanaeka pilipili ya mwendokasi yani hawajui kama sio wote wanapenda viungo
 
Nimecheka balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…