Kadri unavyo iacha pwani ndio kadri unavyo kutana Mapishi ya hovyo

Kule Mara ulijaribu Kichuri?
 
Mimi mwenyewe viungo vingi kwenye chakula sipendi iwe ni kwenye pilau, mboga au hata chai achilia nguvu za kiume nikila maviungo mengi lazima niharishe
Wewe ni mgonjwa, unatakiwa umuone daktari umuelezee hiyo shida.
 
Ni kweli wanapika vyakula vitamu "zaidi"!Ila wanaongoza kwa um-debwedo na kudeka tofauti na bara kwenye vyakula vitamu kawaida ila watu wake ngangari.
 
Nguvu za kiume hazipeleki watoto shule
Hazilipi bills
Hazijengi nyumba
Hazikusaidii ukiugua
Hazina msaada ukizeeka


Tafuta hela
 
Nguvu za kiume hazipeleki watoto shule
Hazilipi bills
Hazijengi nyumba
Hazikusaidii ukiugua
Hazina msaada ukizeeka


Tafuta hela
Wewe ela inafaida gani kama upeleki mashine,raha ya hii dunia kitombo,heshima ya mwanaume ipo kitandani una pesa kibao alafu upeleki mashine sasa hizo pesa zinafaida gani???
 
si upishi tu hata huduma. chukulia dodoma kwa mfano, ni nadra sana hoteli au lodge upate chai ya maziwa. unakuta breakfast ngumu kama chakula cha mbwa. chai ya rangi na slesi mbili tu
Hahaaaaa
 
Wapwani wako vizuri kwenye mapishii jikoni na kitandani pia!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…