Kadri unavyochelewa kuoa hili jambo linazidi kutokea kwako

Kadri unavyochelewa kuoa hili jambo linazidi kutokea kwako

Wasemaji wa ndoa za watu tumekuwa wengi sana. Halafu in reality kuna watu wengi mno wana ndoa zenye amani ila kwa sabbu mfumo una nia yake pasono basi hizi flaws zapigiwa kelele sana. Ma-MC wako booked mwaka mzima sa sijui ndo pipo zinasaliti chama au nini. Alichokiumba Mungu kamwe hakiwez pinduliwa. Too machi noizi....
Vipi kuhusu hizi takwimu na hii ni Dar tu
markup_1000112443.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20240330-002322.jpg
    Screenshot_20240330-002322.jpg
    53.1 KB · Views: 3
Umekariri, siyo kila mwanamke ni wa hivyo.

Ingekuwa watu Wana akili kama zako wanawake wenye watoto wasingeolewa.

Umalaya ni hulka ya mtu, kuna wake za watu wanapigwa mjengo hovyo kuliko singles, kuna wanawake wengi tu wanajitunza na wanathamini miili yao.
Chai
 
Back
Top Bottom