Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Je, hii kauli ya Huyu muheshimiwa. Wana Msimbazi wenzangu mnaichukuliaje
Binafsi naichukulia Kama kejeli coz anatufanya sisi Wana Simba kama watoto wadogo.
Ni sawa na mtoto anovyomwambia baba ndege ileeee juu, then baba anasema "Ntakununuliaaa mwanangu"
Wanamsimbazi kwa hili nyie mnaonaje? Ntapitia comment ziwe fupi fupi.
Binafsi naichukulia Kama kejeli coz anatufanya sisi Wana Simba kama watoto wadogo.
Ni sawa na mtoto anovyomwambia baba ndege ileeee juu, then baba anasema "Ntakununuliaaa mwanangu"
Wanamsimbazi kwa hili nyie mnaonaje? Ntapitia comment ziwe fupi fupi.