Kwamba imekuwa toothless[emoji23][emoji23]Simba ya siku hizi[emoji116][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2104206
Sema mwiko nyuma."Huu Ubingwa Simba Tunachukua Kama Kawaida , Yanga Baiskeli Ya Miti Ile Atadondosha Point Kama Msimu Ulopita Tu We Kwani Hukumbuki Ilivokuwa Msimu Ulopita Si Ndo Ilikuwa Hivi Hivi..![emoji4]" Simba Nguvu Moya...Daima Mbele Nyuma Muwa [emoji1787]
😱😁😁😁 veve boya sana.Simba ya siku hizi👇😁😁😁
View attachment 2104206
Hivi hesabu huwa mnapigaje? Nikusaidie kidogo tu,Kwenye mpira inawezekana kabisa ,point 10 sio nyingi kiivo ukizingatia Bado michezo 17 kwa kila timu .
Swali hapa je Simba hii inao uwezo wa kushinda michezo yote 17 bila kupoteza ?
Swali lingine je yanga ili awe bingwa atashinda michezo yote 17 bila kupoteza?
Mpaka Sasa mwenye faida Ni yanga maana yupo mbele points10 lakin haimanishi basi yeye tayari Ni bingwa,..
Mpira una maajabu mengi tuwe wapole muda utaamua Nan atakua bingwa.
Hivi hesabu huwa mnapigaje? Nikusaidie kidogo tu,Kwenye mpira inawezekana kabisa ,point 10 sio nyingi kiivo ukizingatia Bado michezo 17 kwa kila timu .
Swali hapa je Simba hii inao uwezo wa kushinda michezo yote 17 bila kupoteza ?
Swali lingine je yanga ili awe bingwa atashinda michezo yote 17 bila kupoteza?
Mpaka Sasa mwenye faida Ni yanga maana yupo mbele points10 lakin haimanishi basi yeye tayari Ni bingwa,..
Mpira una maajabu mengi tuwe wapole muda utaamua Nan atakua bingwa.
Kwaiyo una uhakika yanga atapoteza mechi 4 na wewe ushinde zote zilizobaki? Ni mpuuzi tu anaweza kuukubali huo ujingaLolote linaweza kutokea kwenye ligi.
Udhaniae sie kumbe ndie.
na udhaniae ndie kumbe sie.
Nyie furahisheni genge tu na kujifariji point 10 unaziona ni chache kwa upande wako lakini wanaovuja jasho uwanjani na upinzani wanaokutana nao ndo uwaulize ugumu wanaokutana nao watakwambia, we unafikiri ni suala la kwenda tu uwanjani na kuchota point na kuondoka, kama ni rahisi simba walishindwa nini kuzipataKwenye mpira inawezekana kabisa ,point 10 sio nyingi kiivo ukizingatia Bado michezo 17 kwa kila timu .
Swali hapa je Simba hii inao uwezo wa kushinda michezo yote 17 bila kupoteza ?
Swali lingine je yanga ili awe bingwa atashinda michezo yote 17 bila kupoteza?
Mpaka Sasa mwenye faida Ni yanga maana yupo mbele points10 lakin haimanishi basi yeye tayari Ni bingwa,..
Mpira una maajabu mengi tuwe wapole muda utaamua Nan atakua bingwa.
Mkuu yanga akishinda mechi 14 inatosha sio lazima 17...simba ndio anatakiwa kushinda zote akiomba mwenzake mabaya...Kwenye mpira inawezekana kabisa ,point 10 sio nyingi kiivo ukizingatia Bado michezo 17 kwa kila timu .
Swali hapa je Simba hii inao uwezo wa kushinda michezo yote 17 bila kupoteza ?
Swali lingine je yanga ili awe bingwa atashinda michezo yote 17 bila kupoteza?
Mpaka Sasa mwenye faida Ni yanga maana yupo mbele points10 lakin haimanishi basi yeye tayari Ni bingwa,..
Mpira una maajabu mengi tuwe wapole muda utaamua Nan atakua bingwa.