Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
#KIPENGAXTRA: “Mimi sitagombea, mimi siyo maskini, sina njaa, hata mkizomea nasemaje mimi sina njaa, na wanachama wengi mliopo hapa ni mambumbumbu.” hii ni kauli ya aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ismail Aden Rage.
Kauli ambayo imetamkwa tena na aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Mwina Mohamed Seif Kaduguda akizungumza kuhusiana na kile ambacho kinaendelea ndani ya timu hiyo.
Unaweza kuitazama muda huu kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaRadio
#KipengaXtra #Michezo #Simba #HainaKuchoka
Kauli ambayo imetamkwa tena na aliyewahi kuwa Kaimu Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Mwina Mohamed Seif Kaduguda akizungumza kuhusiana na kile ambacho kinaendelea ndani ya timu hiyo.
Unaweza kuitazama muda huu kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaRadio
#KipengaXtra #Michezo #Simba #HainaKuchoka