Kaenda wapi msanii Nina wa Kaole?

Niliwahi kukutana nae maeneo ya buguruni rozana kuna chimbo flani miaka kama 5 iliyopita. Nimemiss sana
 
Jamani Nina.! dah! mtoto aliumbwa akaumbika ana macho hayo mh! wacha kama mi nimemkosa nitafanya namna hata chalii yangu mmoja aoe mtoto wake kama ana wa kike..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…