shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,901
Nora jeYah ndo amekuwa hivi...Nina ! Haaa...ama kweli hujafa hujaumbika....Nina wa Gwizikulu Jilala na Dental Formula Power
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nora jeYah ndo amekuwa hivi...Nina ! Haaa...ama kweli hujafa hujaumbika....Nina wa Gwizikulu Jilala na Dental Formula Power
Si kwamba ni wa kitambo kihivyo, miaka hii hii ya 2000 kwenda juu ndio alianza kufahamika kwenye maigizo, hata aliyezaliwa 2000 anamfahamu labda kama hawakuwa na TVwatoto wa miaka ya 90+ hawawezi kumjua huyu dada
Daaaah! Alikuwa kisu sanaNilipenda uigizaji wake enzi izo, alikuwa akitumia jina la Nina alipenda sana ku act na Dr. Cheni mara kwa mara, yuko wapi siku hizi?!
=========
View attachment 293001
Msanii Nguli wa Sanaa nchini, 'Nina'
Yupo maeneo ya magomeni KIMAMBA kanunuliwa JUMBA NA KIBOPA Fulani Wa TANESCO....anafanya nae maisha kama Mke MDOGO
Coletha,,,,now your talking bro. Mtoto alikuwa sexy yani dah! Frank ndio alikuwa anamuinjoy sana maana scene walikuwa wakicheza wote, dah sio siri ingekuwa mi ndo Frank ningepiga kabisa yule mtoto mzuri.Coletha mtamu sana
Coletha ndio my shiyt. Yani kama kuna kipindi nilitamani kuwa mkubwa ni kipindi Coletha yupo kwenye peak! Ningemdaka nimpasulie mayai kadhaa ukeni ingekuwa faraja sana.Coletha nae alikua shidah...jicho moja matata ..sijui yuko wapi saiz [emoji3]
Ndio na mm nimeshindwa kushangaa huyu binti nakumbuka alikuwa black beauty fulan na figa moja matata sana,nashangaa ss hivi amekuwa mweupeYah ndo amekuwa hivi...Nina ! Haaa...ama kweli hujafa hujaumbika....Nina wa Gwizikulu Jilala na Dental Formula Power
Sure jamaa..manzi alikua anatia mizuka sana,,sema nmemuona saiz dzain kapoteza iviColetha ndio my shiyt. Yani kama kuna kipindi nilitamani kuwa mkubwa ni kipindi Coletha yupo kwenye peak! Ningemdaka nimpasulie mayai kadhaa ukeni ingekuwa faraja sana.
Atakuwa bongo humu humu sema uwezekano kuwa kakongoloka ni mkubwa sana.Sure jamaa..manzi alikua anatia mizuka sana,,sema nmemuona saiz dzain kapoteza ivi
Sent from my SM-G920P using Tapatalk
mbona yupo powa tuu, anatafsiri tamthilia za kichina kwa kiswahili katika channel ya star swahili ana mkataba nao, na bado anavutia piaAtakuwa bongo humu humu sema uwezekano kuwa kakongoloka ni mkubwa sana.
Picha yake plsmbona yupo powa tuu, anatafsiri tamthilia za kichina kwa kiswahili katika channel ya star swahili ana mkataba nao, na bado anavutia pia
Hayupo kam zaman..namuona instambona yupo powa tuu, anatafsiri tamthilia za kichina kwa kiswahili katika channel ya star swahili ana mkataba nao, na bado anavutia pia
Coletharaymond
Ila vimiguu vyake vya "milonjo" [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Sure..Alikuwa kisu..Ana Macho flani hivi ya kimitego