carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Rudi hapa [emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rudi hapa [emoji23][emoji23][emoji125] [emoji125] [emoji125]
Watu wa ntwara wakikukamta shambani kwao kama mwizi.Hii inaitwa mbwa kala mbwa[emoji23][emoji23]
Picha lishaungua hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa ntwara wakikukamta shambani kwao kama mwizi.
Wanakwambia ukikimbia nchale ukisimama nchale ukilala nchale[emoji23] [emoji23] [emoji23]
aiseee huyo kweli anakupnda ...Anavyonipenda huyo Anatamani animilikishe Marekan nzima
Naona unaniweka kikaangoni kipenziRudi hapa [emoji23][emoji23]
Yangu macho kama ninavyokuzoom bibie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari
Ngoja nikuache bhana,nawahi bandani kulala[emoji25][emoji25][emoji42][emoji42]Naona unaniweka kikaangoni kipenzi
Haya kapambane kuongeza urefu. Nitakuja kukuamsha badaeNgoja nikuache bhana,nawahi bandani kulala[emoji25][emoji25][emoji42][emoji42]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huyo acha tu yupo mtaani kwetu ni kero balaaaanayule mwenye zile text ulizopost ninani ??
yule bebiunajuamwendhio nakupendathana..natamani kumjua aisee
Ngoja nitulie tu mm, kimyaaaa!Putin we kaka angu bana usione wivu
yupo mtaani kwenu ..!!?? amesoma MEMKWA nini !!?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]huyo acha tu yupo mtaani kwetu ni kero balaaaa
Hata sijui kwa kweli kichwan empty set ila kwenye wallet full setyupo mtaani kwenu ..!!?? amesoma MEMKWA nini !!?
Naona umerudi unanukia manukato [emoji41]Mimi namba mbili mweeh!
[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33]
[emoji124]
Mama acha tuu, mezipata DearHizi salam naomba uzikishe kwa jirani yako pasipo kupunguza wala kuongeza neno [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niujue ukweli wa kismatiLengo lako ni nini hapo? [emoji15]
My God! Why me?Naona umerudi unanukia manukato [emoji41]