Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

Siyo kila aliyefungwa anampenda,kuna jamaa yangu mmoja alipata msala binti wa miaka 16,mkubwa KWA umbo na alikuwa anatumwa na mama yake amzoee na alale na jamaa.
Eti jamaa akaja kufumaniwa akiwa na mtoto wa kike ndani ,mtoto wa kike akasema alikuwa anafanya na jamaa ,kweli jamaa alitoa milioni 3,KWA mama yake wakati ulikuwa ni mpango,maisha ni magumu tuweni makini
Zanzibar ndo wana huo mchezo, jamaa mmoja alifanyiwa hivyo mara mbili, ukiwa masikini unakuwa na mawazo ya kijinga sana, ingekuwa mimi wasingetoboa, mkemia akipima anakuta hakuna shida, afu nafungua kesi yangu, nadai milioni 100.
 
Kuna jamaa wa Kibaha juzi kapigwa mvua (miaka) 30 kwa kesi ya kubaka. Inasemekana eti alimpa elf 20 binti akakataa.
Mazingira yanaonesha kulikuwa na majadiliano ila 'wakashindwana bei'. Nimejiuliza tena kama jamaa angepanda dau akatoa laki tano au milioni moja, binti angesema amebakwa!
Yawezekana kabisa binti alikubali kutoa mzigo kwa hiyari yake ila baada ya dau kuonekana dogo akabadili maelezo.
Nadhani kuna haja ya mahakama kuiangalia upya kesi hiii.
Ubakaji mara nyingi linakuwa ni tukio la ghafla. Kama binti aliona anapewa pesa atoe mzigo na kama asingekuwa tayari kwa nini asingekimbia eneo la tukio ili kuepuka hii hatari.
Bado najiuliza sana kama kweli mahakama imetenda haki kwenye kesi hii lakini sijapata majibu.
Hiyo Binti alikuwa ana umri gani?
 
Hao ni watoto sio mabint.

Anyway.Sitamani jinsia Ke chini ya miaka 20..NEVER EVER...
 
Wala msipuuze huu uzi. Wapo ambao ubakaji ni spirit na wameshabaka au wako njiani kubaka ila hawajashtukiwa. Hawa ni wahanga wa jela watarajiwa.

Lakini wapo wengine kama mimi na wewe ambao kwa akili yako unaamini huwezi kubaka lakini unakaribisha mazingira hatarishi ambayo siku isiyo na jina itakutia hatiani!

Mtoto wa kike hata awe mdogo kiasi gani ni muhimu ujiepushe na ukaribu wa kupitiliza anaostahili mama yake tu. Uwe mjomba, kaka and whoever kaa mbali kabla siku hujashangaa kimekutokea nini ujute milele.

Kama una hamu usizoweza kuzuia kanunue mizigo kuliko siku isiyo na jina ghafla ujikute kwenye kuta nne milele.


X, ujinga, usitujumuishe kwenye ujinga, hajuna justification ya mtu kubaka.
 
Zanzibar ndo wana huo mchezo, jamaa mmoja alifanyiwa hivyo mara mbili, ukiwa masikini unakuwa na mawazo ya kijinga sana, ingekuwa mimi wasingetoboa, mkemia akipima anakuta hakuna shida, afu nafungua kesi yangu, nadai milioni 100.
huo muda wa mkemia kupima upo sasa...?

Omba yasikukute
 
Mimi mtoto yoyote 18 kurudi chini akiwa anasoma au hasomi sitaki kabisa mazoea.

Tena kuna wale wadogo kabisa sijui miaka 4 , 5 ndio hata mlangoni kwangu sitaki wakatize.

Dunia imeharibika watoto wadogo wakiume wamekuwa wakilawitiwa mzazi anashituka muda umeenda wanaanza kutafuta wakumuangushia msala.

Juzi hapa mjuu wa mwenye nyumba amenusurika kubakwa na bodaboda wao ambae wanamtumia hata kukapeleka hako katoto shuleni. Katoto kenyewe ukikaona kana miaka 3

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Hawa bodaboda akili zao zilishamalizwa na mapetrol mwanangu nampitisha mimi mwenyewe shule mambo mengine wazazi tunajitakia eti boda unamuamini kukuelekea mtoto shuleunakuta kimemkubakia kwa nyuma kwenye boda na walivyo na upwiru
 
Back
Top Bottom