Kafanya usaliti anahitaji msaada wenu

Jabakeke Huyo rafiki yako alipoamua kuzaa na jamaa mwingine walikua na mipango gani, kuzaa tuu au kuishi pamoja?
Kama ni kosa limeshatendeka na mimba imepatikana... mimi simshauri aue mtoto wake maana hilo ni kosa lingine kubwa ambalo atajutia. Na hata akifanya hivyo huyo aliye jela atajua tuu anaweza asimkubali mtoto na akamwacha vile vile.
Atulie azae huku akisubiri talaka yake

Vinginevyo atakosa bara na pwani - atamkosa mume jambazi, atamkosa mtoto na baba mtoto nae atamwacha
 
Kwani hakuna watu wazima huko kwao?
 
Mastermind, unaonekana umebobea sana, kawasaidie na Lumumba maana wanashindwa hata kuset mashambilizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ata akifanya nn mmewe atajua tu mnafikiri akunaga majirani? Atajua so chakufanya wasepe na mume mpya
 
Naona Wazinzi wanapeana Ushauri......
Kutoa Ushauri kwa Kesi aina hiyo inabidi uwe Mzinzi TU.......
 
Yanakuhusu nini??? Kwenye hii story unaoneka mtu wa watu... Div 5 wewe!!!
 
Kwahiyo unashauri afanye mauaji ya kiumbe kisicho na hatia,

Ndo maana tunasema wanawake wengine ( ukiwemo na wewe) ni masheteni tu.
Dah wanawake wa siku izi ndo maana wagumba wamekuwa wengi, ye anaona ni jambo la kawaida sana kutoa mimba, ndo maana anasema yule baba hana akili anavosema mwenzie azae
 
Mawili ama aanze kusema ana undugu na Bikira Maria au amwambie huyo mjelajela hiyo mimba ni yake atakase asitake.
 
Kwahiyo unashauri afanye mauaji ya kiumbe kisicho na hatia,

Ndo maana tunasema wanawake wengine ( ukiwemo na wewe) ni masheteni tu.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Aende kanisani akasikilize vzr mahubiri ya jmosi na jpili siku hizo mbili asikose kila juma halafu

Atasikia sauti ikisema nyuma yake aifuate atakuwa Roho anasema naye nini cha kufanya
Ni wa msikitini
 
Hakutarajia kama rufaa aliyokata mumewe itazaa matunda,alishakata tamaa kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…