Hiyo ni nyara mhimu ya serikali kulindwa na silaha ya moto ndogo kama bastola sio kitu cha kushangaza, labda tushauri kuwe na kikosi kamili (platoon) chenye silaha kubwa kidogo kama SMG 47, mwenge faida ni nyingi hasa kusimamia miradi midogo ya serikali hivyo kuongeza uwajibikaji wa taasisi za serikali. Ukiona jambo halieweki weka maana kama hizi na maisha yaendelee tu.Je tafsiri ya kuulinda huu moto kwa kutumia askari wakakamu wenye silaha za moto ni nini? View attachment 1106605
[emoji44][emoji15][emoji44][emoji44][emoji144][emoji144][emoji144][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Hiyo ni nyara mhimu ya serikali kulindwa na silaha ya moto ndogo kama bastola sio kitu cha kushangaza, labda tushauri kuwe na kikosi kamili (platoon) chenye silaha kubwa kidogo kama SMG 47, mwenge faida ni nyingi hasa kusimamia miradi midogo ya serikali hivyo kuongeza uwajibikaji wa taasisi za serikali. Ukiona jambo halieweki weka maana kama hizi na maisha yaendelee tu.
Mbona Jordan Rugimbana alikimbiza huo mwenge miaka ya 2000 mpaka kesho yupo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Je tafsiri ya kuulinda huu moto kwa kutumia askari wakakamu wenye silaha za moto ni nini? View attachment 1106605
Mwaka huu hakutakuwa na mbio za mwenge nchini kwa kuchelea madhara yanayoweza kujitokeza wakati huu wa COVID 19. Na tumeelezwa waziwazi kwamba fedha ilivyokuwa imetengwa kwa shughuli za mwenge ITATUMIKA katika shughuli nyingine za maendeleo. Umegundua nini hapo?Hakuna bajetj ya kukimbiza mwenge.
Huwa kuna wahisani...na michango ya kulazimishwa.
Nikosoe
Dah huwa nasikitika sometimes lakini nabaki kujisemea.. kila mtu ana mawazo yake na labda inabidi niyaheshimu. Lakini najiuliza mwenge ulibuniwa miaka ya 1950+ huko lakini leo 2020 mtu anakuja kusema waliouanzisha hawakujua maana yake, hivi inaingia akilini kweli hii??
Halafu mbona mwenge umetumika sehemu nyingi sana duniani, mfano michezo ya olympic, nao ni aina ya zindiko/kafara??
Hivi somo la historia lilianzishwa kwa minajili gani?
Anyway kuna mawazo hasi na mawazo chanya na yote ni mawazo.
hapo umeshafeli mkuu nimekuelewa ila kama wengine wamekufa vp yeye awepo? manake hilo bunio lako lime shidwa kujidhibitisha pasipo nashakaNimesema wengi sijasema wote... Kama nimesema wote nimekosea na naomba radhi
Asante kwa kuchangia... Ila nilichoandika ndio uhalisiahapo umeshafeli mkuu nimekuelewa ila kama wengine wamekufa vp yeye awepo? manake hilo bunio lako lime shidwa kujidhibitisha pasipo nashaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaleta taharuki mkuu
Hiyo nguvu ya kuleta tumaini na upendo huo Mwenge unatoa wapi?
Kwenye rada zako imesomeka au chenga tu??