Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime

Kafulila acha kusifu na kuabudu zama zimebadilika, mvua zinanyesha kubali umepumzishwa, shika jembe ukalime

Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe umebaki unasifia mambo ambayo hayapo ili uweze kutazamwa upya jambo hilo halipo tena katika utawala huu.

Mama anajua unamsifia kwenye hamna maana hata yeye anajua wananchi wanechapika hatari kimaisha iweje umpake kilemba ukoka?

Mbona Kigoma ni mkoa wenye ardhi nzuri na mvua za kutosha kwanini usijikite kwenye kilimo ukaacha uchawa ambao mama hakuuzoea kutoka kwako?

Hujiulizi nini kilichofanya akufyeke kwenye ukuu wa mkoa akaona hutoshi kuendelea kukalia kiti hicho?

Kafulila zama zimebadilika tambua hilo kuna maisha baada ya siasa acha uchawa fanya kazi nyingine umeshapumzishwa.

Tanzania tupo milioni 61.3 Kwa sasa wengi wanajua utawala huu unatoa huduma kiasi gani kwa umma! usidhani kuwa wenye akili ni wanasiasa ndiyo wanaoweza kuisemea Serikali wapo wengi ambao sio wanasiasa wanajua yanayoendelea nchini.
Takataka hizi,
 
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe umebaki unasifia mambo ambayo hayapo ili uweze kutazamwa upya jambo hilo halipo tena katika utawala huu.

Mama anajua unamsifia kwenye hamna maana hata yeye anajua wananchi wanechapika hatari kimaisha iweje umpake kilemba ukoka?

Mbona Kigoma ni mkoa wenye ardhi nzuri na mvua za kutosha kwanini usijikite kwenye kilimo ukaacha uchawa ambao mama hakuuzoea kutoka kwako?

Hujiulizi nini kilichofanya akufyeke kwenye ukuu wa mkoa akaona hutoshi kuendelea kukalia kiti hicho?

Kafulila zama zimebadilika tambua hilo kuna maisha baada ya siasa acha uchawa fanya kazi nyingine umeshapumzishwa.

Tanzania tupo milioni 61.3 Kwa sasa wengi wanajua utawala huu unatoa huduma kiasi gani kwa umma! usidhani kuwa wenye akili ni wanasiasa ndiyo wanaoweza kuisemea Serikali wapo wengi ambao sio wanasiasa wanajua yanayoendelea nchini.
Jaji werema alimwita nani vile?
 
Kafulila anatoka jamii ya hovyo sana, kwao wanachokiweza ni kusugua ndala na miguu kwa saa nzima baada ya kuoga. Nyasi huota hadi mlangoni hawawezi hata kukwaa.

Jamii za kilozi zinazoamini maendeleo kwao ni kurogwa na kifo!! Huwa na fikra za funza na minyoo mwangalie hata ndugu yake Zitto ni wale wale, kumwambia ashike jembe kwake ni ushamba na fedheha! Huwa wako tayari kuua ili tu wapate vya bure hata ikiwa ni sinia ya ubwabwa!

Majitu ya hovyo sana.
Mkuu mbona wanaoua ni wanaccm hasa kwenye uchaguzi ndio wenye sifa hizo ulizotaja?
 
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe umebaki unasifia mambo ambayo hayapo ili uweze kutazamwa upya jambo hilo halipo tena katika utawala huu.

Mama anajua unamsifia kwenye hamna maana hata yeye anajua wananchi wanechapika hatari kimaisha iweje umpake kilemba ukoka?

Mbona Kigoma ni mkoa wenye ardhi nzuri na mvua za kutosha kwanini usijikite kwenye kilimo ukaacha uchawa ambao mama hakuuzoea kutoka kwako?

Hujiulizi nini kilichofanya akufyeke kwenye ukuu wa mkoa akaona hutoshi kuendelea kukalia kiti hicho?

Kafulila zama zimebadilika tambua hilo kuna maisha baada ya siasa acha uchawa fanya kazi nyingine umeshapumzishwa.

Tanzania tupo milioni 61.3 Kwa sasa wengi wanajua utawala huu unatoa huduma kiasi gani kwa umma! usidhani kuwa wenye akili ni wanasiasa ndiyo wanaoweza kuisemea Serikali wapo wengi ambao sio wanasiasa wanajua yanayoendelea nchini.
Kafulila tafsiri yake kibantu ni kafulia
 
"TWEETE MOJA INAWEZA KUTUMIA MUDA GANI KUANDIKWA?

JE, KAFULILA ANAFANYA KOSA GANI KUMSEMEA RAIS NA NCHI YAKE?

JE?! HUYU KAFULILA KAANZA KUANDIKA HIZI MAKALA WAKATI GANI?

===
Tatizo lenu hamtaki na hampendi kila mtu anayemsemea Rais Samia Suluhu Hassan,

Tatizo ni Urais tu Samia,

Kwani Kafulila kuandika tweeter moja inatumia muda gani unaomfanya ashinde kulima?

Kwani Kafulila si ni mkulima wa Kahawa yule au mnataka na yeye apige picha Shambani?

#TATIZO HAPA NI URAIS TU
Acha upuuzi!
 
Viongozi wengi waliopumzishwa wamekaa kimya huku wakijitaftia mkate wa kila siku kupitia kwenye kilimo na biashara mfano mzuri wapo wakina Lukuvi, Kabudi, Ally Happi, Makonda Mzee Ndugai n.k.wewe umebaki unasifia mambo ambayo hayapo ili uweze kutazamwa upya jambo hilo halipo tena katika utawala huu.

Mama anajua unamsifia kwenye hamna maana hata yeye anajua wananchi wanechapika hatari kimaisha iweje umpake kilemba ukoka?

Mbona Kigoma ni mkoa wenye ardhi nzuri na mvua za kutosha kwanini usijikite kwenye kilimo ukaacha uchawa ambao mama hakuuzoea kutoka kwako?

Hujiulizi nini kilichofanya akufyeke kwenye ukuu wa mkoa akaona hutoshi kuendelea kukalia kiti hicho?

Kafulila zama zimebadilika tambua hilo kuna maisha baada ya siasa acha uchawa fanya kazi nyingine umeshapumzishwa.

Tanzania tupo milioni 61.3 Kwa sasa wengi wanajua utawala huu unatoa huduma kiasi gani kwa umma! usidhani kuwa wenye akili ni wanasiasa ndiyo wanaoweza kuisemea Serikali wapo wengi ambao sio wanasiasa wanajua yanayoendelea nchini.
Huyu apate ushauri "NASAHA" ameathirika kisaikolojia....
 
Watu wengine hamna akili, kwani watu wote ambao hawajateuliwa kuongoza wanategemea wake zao? Kama wewe unategemea mkeo kwa sababu hujateuliwa ukuu wa mkoa basi una matatizo makubwa kichwani.
Wewe ndiye huna akili,umenisikia nalilia kuteuliwa? Maisha yangu sijawahi kufanya kazi ya kuajiriwa au kuteuliwa hivyo huu umbwiga wako mwambie tumbili, kima wewe.
 
"TWEETE MOJA INAWEZA KUTUMIA MUDA GANI KUANDIKWA?

JE, KAFULILA ANAFANYA KOSA GANI KUMSEMEA RAIS NA NCHI YAKE?

JE?! HUYU KAFULILA KAANZA KUANDIKA HIZI MAKALA WAKATI GANI?

===
Tatizo lenu hamtaki na hampendi kila mtu anayemsemea Rais Samia Suluhu Hassan,

Tatizo ni Urais tu Samia,

Kwani Kafulila kuandika tweeter moja inatumia muda gani unaomfanya ashinde kulima?

Kwani Kafulila si ni mkulima wa Kahawa yule au mnataka na yeye apige picha Shambani?

#TATIZO HAPA NI URAIS TU
Sahihi Sana
 
Back
Top Bottom