Kafulila amtambulisha mchumba wa Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Zitto aliwabi kusema anatarajia kumuoa mtoto wa marehemu Abubakar Mgumia ambaye anafundisha UDSM na akasema alishazaa naye mtoto anayeitwa Seth Chachage.
Nadhani kabadili mawazo ana cbuma kipya.

Ofcourse labda hata hii new news ni "kiki" tuuu........ So, let's keep on waiting time will confirm.
 
Hata mimi hapa ameniangusha. Namkubali sana huyu jamaa lakini naanza kujiuliza kuhusu tuhuma nyingi zinazo mkabli. Haiwwzekani uende UMRA halafu uzungukwe na maulevi kama hivyo. Nnawasiwasi na Ibada yake ya UMRA kama kweli ilikuwa kwa ajili ya Allwah au kujionyesha kwa watu tu. Na kama huyo Anna ni mkristo basi hapo hapatakuwa na ndoa ni uzinzi tu.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
Tena uchumba wenyewe wa miaka hii, hilo la uchumba si harusi linatokea sana.
Kweli kabisa kuna mkaka alichumbia wasichana wengi kila mmoja alivikwa pete na utambulisho ulifanyika. Duh haya makitu hayakuanza leo kwa bahati mbaya hatujifunzi. Unaweza ukamuonyesha binti au kijana kuwa hapo unapoteza muda lkn hawezi kukusikia mpaka yamkute.
 
Reactions: BAK
Chadema live unacheki hilo gauni.


swissme;
 
Kwa hiyo yule mwanamke lectuter alizaa naye kapiga chini? Pole dada kwa kutumika kama kitotoleo. Ila Zitto ana sura mbaya utafikiri mtoto wa marehemu Remmy Ongara. Na roho yake ndivyo ilivyo mbaya.

Umewahi kumuona mtoto wake na yule lecturer Wiza ni hb wa kufa mtu.ofcoz hawa walizaa kitambi kama wangekuwa wa kuishi pamoja wangesha ishi.
 
Huyu msichana ni mtoto ya Jaji Bwana... alikuwa Jaji wa mahakama kuu kama sikosei...huyu msichana amesha zaa ana mtoto mmoja mdogo...

Kwa hiyo anachukua USED/MTUMBA au yeye ndo kamzalisha
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…