Kafulila amtambulisha mchumba wa Zitto Kabwe

Kafulila amtambulisha mchumba wa Zitto Kabwe

Status
Not open for further replies.
Ahaa haaaaa....
Nadhani ubize wa siasa....alafu kuanza siasa ukiwa na age ndogo tatizo saana,
Kuna ule umri wa kuruka ruka mfano ukiwa chuo. Sasa we upo bize na masiasaa mwanzo mwisho...

Ukifika late 30's ndo unakumbuka shuka, matokeo yake unaanza kugusa kuacha kugusa kuacha....

Paka watu waseme jogooo hawik

Mmh kama nyuki wa canteen sasa, amebaki tu kupiga picha na warembo
 
Dah Mtoto mkali kama huyu unafanya hit and run? Huyu unatakiwa umfungie chumbani mwezi mzima akitoka anatafuta clinic
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom