Acha uongo wako copy & paste na Tunu Pinda au kwa mbali na Anna Mkapa au Hawa Ghasia.
Hakuna ndoa hapa,hata ikiwepo haitadumu
principle za love ni kwa yule aliyependa....Kwa hiyo anachukua USED/MTUMBA au yeye ndo kamzalisha
Acha uongo wako copy & paste na Tunu Pinda au kwa mbali na Anna Mkapa au Hawa Ghasia.
Hakuna ndoa hapa,hata ikiwepo haitadumu
Tena uchumba wenyewe wa miaka hii, hilo la uchumba si harusi linatokea sana.
In fact huyo dada ni half cast wa kizungu mama yake ni mzungu kabisa wanasali pale saint peters Oysterbay...si dhani kama yule ni mtoto wa zito....labda wa kufikia
Mke wangu unamjua? Nyau we
Mwasi kitoko
"Shemeji" ni mrembo kweli,tunasubiri tarehe!
Safi,ukiwa na hela unakila kitu. Wanyange unachagua tuu.
Huyu msichana ni mtoto ya Jaji Bwana... alikuwa Jaji wa mahakama kuu kama sikosei...huyu msichana amesha zaa ana mtoto mmoja mdogo...
Daah news watu mmeziweka kando tuu mnasubiri wasaa.Huyu msichana ni mtoto ya Jaji Bwana... alikuwa Jaji wa mahakama kuu kama sikosei...huyu msichana amesha zaa ana mtoto mmoja mdogo...
read again nilichoandika... ni fact...hayo ya mashine kuoza ni yako.... fact zitabaki kuwa fact.....Inamana akizaa hafai kuolewa au mashine inakuwa ishaoza?andika mambo ya maana sio upuuzi km huo .
kama ameshazaa kwani Zito hawezi kumzalisha!Huyu msichana ni mtoto ya Jaji Bwana... alikuwa Jaji wa mahakama kuu kama sikosei...huyu msichana amesha zaa ana mtoto mmoja mdogo...