Kafulila: Bei ya Umeme Kenya ni mara mbili ya Tanzania

Kafulila: Bei ya Umeme Kenya ni mara mbili ya Tanzania

KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Sio tuu ya Umeme , kiujumla bei ya kila kitu..

Hata hivyo tunatofautiana ukubwa wa Uchumi..

Uchumi unavyozidi kuwa mkubwa ndivyo maisha yanazidi kuwa ghali pia 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220526-132951.png
    Screenshot_20220526-132951.png
    71.5 KB · Views: 13
Huyo Tumbili hiyo 100/=kwa unit 1 ameipata wapi au huenda ana umeme ambao anauuza yeye siyo ule wa Tanesco.
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Je mishahara yao ni sawa na ya kwetu?
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Huu ndio ule umbukula ambao wana siasa wa Ccm wako nao.
Kwamba kama jirani mlo wa familia ta jurani ni kande kila siku, basi na wewe usi boreshe nyumba yako? Ytawaifa??
Ujinga mtupu!!!
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Kwa nini tunapenda kulinganisha maisha yetu na nchi nyingine?
Ni jukumu la viongozi kuboresha maisha ya watu na siyo kubweteka kwa kuchungulia kwa jirani wakoje na kujidanganya eti kwako ni nafuu.
Mbona hatulinganishi na bajeti yao? Kenya bajeti yao ni zaidi ya Usd 20b wakati siye ni Usd 16b.
Umeme kwa uwezo wa kipato cha watanzania wengi bado uko juu Sana. Ni watanzania wachache sana wanaoweza kupikia umeme sababu ya gharama.
 
Na Kenya pia Wana nafuu sie huku marekani ni mara saba yake na hatulalamiki.
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
kwa hiyo kenya wakinya tulambe mavi yao?
 
Tumbili ktk ubora wake
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
 
Na shilingi moja ya kenya huku ni mara ishirini
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
 
Sisi tunanunua umeme UGANDA.

Unakuwaje bei rahisi?
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Daah..hawa vilaza na wanafiki wanaangamiza nchi kuhubiri ujinga wao kwa wananchi.

Sawa sawa na bosi wao kusema bei ya mafuta ya usa ni ghali kuliko tz.

Hivi tuanze na swali dogo tu kati ya kenya na tz nani ana GDP kubwa.?

Nivyema tuwe tunaeleze kwa muktadha wa mazingira yetu..mbona kwenye kuwepo na tume huru za uchaguzi na uwepo wa demokrasia ya kweli hapo hawajifananishi hawa waroho wa madaraka...absurd

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah..hawa vilaza na wanafiki wanaangamiza nchi kuhubiri ujinga wao kwa wananchi.

Sawa sawa na bosi wao kusema bei ya mafuta ya usa ni ghali kuliko tz.

Hivi tuanze na swali dogo tu kati ya kenya na tz nani ana GDP kubwa.?

Nivyema tuwe tunaeleze kwa muktadha wa mazingira yetu..mbona kwenye kuwepo na tume huru za uchaguzi na uwepo wa demokrasia ya kweli hapo hawajifananishi hawa waroho wa madaraka...absurd

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeelewa mstari wa mwisho tu,
 
KAFULILA: BEI YA UMEME KENYA MARA MBILI YA TANZANIA

Mkuu wa Mkoa Simiyu, David Kafulila amesema takwimu za ulinganisho wa bei ya Umeme Afrika mashariki zinaonesha kwa wastani watanzania wanatozwa bei chini ya umeme kuliko nchi zote Afrika mashariki na kusisitiza kuwa nafuu hiyo ya bei ni kielelezo cha serikali inayojali wananchi wake.

Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu, Comrade Chongoro wilayani Meatu ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake mkoani Simiyu.

"Jana serikali imetoa bei mpya za mafuta zenye punguzo la takribani 300/= kwa lita kama mkakati wa kupunguza makali ya bei za bidhaa. Serikali itaendelea kuchukua hatua ili kupunguza makali ya gharama za maisha nchini. Tuelewe tu kwamba mbali ya mkakati huo kwenye mafuta, pia ni sera ya serikali kuhakikisha wananchi wake wanapata nishati ya umeme kwa bei nafuu zaidi. Takwimu za ulinganisho wa bei ya nishati ya umeme duniani zinaonesha kwamba wakati bei ya umeme Tanzania wastani ni dola senti 10, Kenya ni dola senti 21, Uganda dola senti 18 na Rwanda ni dola senti 26"

Aliongeza kusema " Hii maana yake wananchi wa Kenya wananunua umeme kwa bei kubwa mara mbili ya wananchi wa Tanzania. Na zaidi tunafahamu sera ya serikali kuhakikisha watu wa kipato cha chini kupata nishati ya umeme.. kwamba wananchi wanaotumia sio zaidi ya unit 75 kwa mwezi wanalipia unit 1 ya umeme kwa sh 100/= Yote hii ni namna ya kujenga maendeleo yanayobeba watu wengi" alisisitiza Kafulila na kuwataka wananchi kutambua juhudi za serikali katika maisha yao hata kama bado kuna changamoto kwani serikali inazitambua na kuonekana wazi kukabiliana nazo kwa vitendo" alihitimisha Kafulila
Kafulila Kafulila Kafulila
 
Back
Top Bottom