Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #21
😂😂Hivi kafulila ndie Lucas Mwashambwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Hivi kafulila ndie Lucas Mwashambwa
Kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania..Kwambs ".Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo ameandika Kafulila'
😂😂😂Hata mimi,Nimebubujikwa na machozi ya furaha
Nani akwambie kama hufuatilii mambo ya serikali ila uko busy na ujinga wa kina Lisu? Mwambie Lisu akwambieWatuambie kwanza Dira ya 2025 ilikuwa inasema nini?
Tumeweza kuifikia?
Kama tumeshindwa, kwanini?
Niwakumbushe tu 2050 sio mbali sana.
Hapana mmoja ni mwanamke na mwingine ni mwanaumeHivi kafulila ndie Lucas Mwashambwa ??!
Asset gani hapo Sasa wakati amekopi maelezo ya Dira na kuongeza vionjo vyake?Mnyonge mnyongeni Kafulila ni asset sana kwa CCM
Kafulila anaamini watu wote ni wajinga kama watu wa KigomaNamba zinavutia usipozingatia hesabu za uchumi kama inflation
Milioni 12 kwa mwaka 2050 usije shangaa itakuwa ni pesa ya kujazia lita ya petrol
Hapo zamani gari ilikuwa inauzwa shilingi 500
Sio umaskini ni hatua kubwa kwani Kwa Sasa wastani ni mln 3Kama ni kwa mwaka basi wamefeli. Milioni 12 kwa mwaka bado ni umasikini
Ni tapeli tuAsset gani hapo Sasa wakati amekopi maelezo ya Dira na kuongeza vionjo vyake?
Zinaweza kuwa chini zaidi ya Sasa maana Uchumi wetu utaongezeka zaidi kuliko wa USAMiaka 26 baadaye USD/TZS zitakuwa na thamani sawa na sasa? Je, miaka 26 nyuma zilikuwa na value/purchasing power ya mwaka huu 2024?
Walitudanganya na gas ya Mtwara kuwa itashuka beiView attachment 3179123
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,
Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,
1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua na kufika $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.
2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM Pato lao litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa kila mtu itakuwa ni kula bata tu,
3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza.
4. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM Kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.
5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania ni chini ya CCM tu.
Tapeli kama Mbowe na Lissu?Ni tapeli tu
Umeandika pumba sana ,Tulia unadike vizuriPlan za kijinga sana kwa miaka 25 kutoka leo tuwe tunatengeneza $4500 ambayo ni sawa na $1,048.49 kwa mwaka kwa thanami leo kwa mfumuko wa bei wa 6% kwa mwaka.
Tatizo la siku hizi vijana wetu wanakariri shule hawaelewi haya🤦🏾♂️
Kama mumeoTapeli kama Mbowe na Lissu?
Ni assumption, hatujui by 2050 uchumi wa dunia utakuwaje?View attachment 3179123
Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,
Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,
1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua na kufika $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.
2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM Pato lao litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa kila mtu itakuwa ni kula bata tu,
3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza.
4. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM Kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.
5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania ni chini ya CCM tu.
Kwani gesi haijashuka bei? Huoni Wananchi wanafurahia majiko ya bei ya ruzuku ?Walitudanganya na gas ya Mtwara kuwa itashuka bei
Walitudanganya na Stiglers kuwa umeme utashuka bei
Leo pato la taifa
Matapeli hao, watu hawajui hata kesho yao watakula nini wao wanazungumzia 25 yrs to comeWatuambie kwanza Dira ya 2025 ilikuwa inasema nini?
Tumeweza kuifikia?
Kama tumeshindwa, kwanini?
Niwakumbushe tu 2050 sio mbali sana.