Wazee wa "Yaani pale ukifanya hivi na vilee unapiga hela kama zote wazembe sana isee watendaji wa serikali"..Haya sasa nendeni wazee wenye mipango
Ova
Mimi nataka niendeshe BOT===View attachment 3075737
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.
Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.
Msikilize mpaka mwisho.
KWELI HUYU NI TUMBILI CCM HAWAKUKOSEA KUMTUKANA LIVE===View attachment 3075737
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.
Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.
Msikilize mpaka mwisho.
Duuuh nchi ngumu sanamie nataka kuendesha TLS naona kama inaendeshwa kwa hasara
Sio wote wenye pesa rafikiNaanza na SGR wafute nauli ya sh. 1,000. Ukilipa ni either Morogoro au Dodoma. Hayo ya kulipa elfu ni uhujumu ili ionekane serikali imeshindwa na baadae wabinafsishe
Wengine wapande mabasi... Kama ndege tungekuwa tunapanga hata maskini wapande ingekuwaje? Jiulize.Sio wote wenye pesa rafiki
π€£π€£π€£Mapato ya serikali za mitaa na Halmashauri na TRA yanapotea
Serikali za mitaa na Halmashauri na TRA zibinafsishwe
Naomba tenda kumiliki Halmashauri na serikali za mitaa na TRA
Mwenge unaendeshwa kwa hasara kila mwaka na hakuna mbia atataka kujaribu biashara ya mwenge..ππ===View attachment 3075737
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.
Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.
Msikilize mpaka mwisho.
Sasa mwenge ni wa kibiashara?Mwenge unaendeshwa kwa hasara kila mwaka na hakuna mbia atataka kujaribu biashara ya mwenge..ππ
===View attachment 3075737Masta 2mbili
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.
Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.
Msikilize mpaka mwisho.
Aede bungeni kupitia chama gani, kama ni ccm labda unataka awe kama Mpina. Kawaida ya ccm haitaki wenye akili za kiuchunguzi, ccm haina tofauti na madhebu ya dini wewe ukianza kuhoji mambo ya kanisa haufai.Huyu jamaa ni kichwa sana na mwenye maarifa mengi sana kichwani mwake. Binafsi nina mkubali sana na nina kuunga mkono kabisa na kutamani kuona Mwakani akiingia Bungeni na ikimpendeza Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amteue Kuwa uwaziri.
Atafanya vizuri sana tena sana kwa sababu anao uwezo mzuri na uzoefu.mfano ametumikia Mikoani kama Katibu Tawala Songwe na RC Simiyu na sasa mkurugenzi wa PPP.kwa hiyo anayafahamu mazingira yote na uendeshaji wa serikali kuanzia ngazi za chini kabisa na hivyo atakuwa msaada na nguzo imara katika wizara atakayopewa.View attachment 3075767View attachment 3075767
mie nataka kuendesha TLS naona kama inaendeshwa kwa hasara