Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Tumbili ana IQ kubwa ila upande aliko hawataki watu wanaofikiria
 
Naunga mkono hii kituπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏπŸ‘πŸΏ
 
Mapato ya serikali za mitaa na Halmashauri na TRA yanapotea

Serikali za mitaa na Halmashauri na TRA zibinafsishwe

Naomba tenda kumiliki Halmashauri na serikali za mitaa na TRA
Daaah 🀣🀣
 
Mwamba sana huyu jamaa
 
Hoja
 
Hata wewe ni hazina kwa Taifa
 
Kafulila ni jembe
 
mbona msajiri wa hazina hajasema na jana alikuwa na kikao na maceo wa public companies, atuambie kampuni zipi ziko sokoni watu wazichangamkie
 
jafo jana kasema hakuna kampuni ya umma itauzwa sasa tumwamini nani?
 
Hiyo UDART walioweka mrija wa kunyonya hizo fedha ukionekana unautaka live harafu hauna nguvu za kujilinda hata kwa siraha utatekwa watakukuta kwenye mtaro maiti yako itatambulika kwa DNA...
 
Hiyo UDART walioweka mrija wa kunyonya hizo fedha ukionekana unautaka live harafu hauna nguvu za kujilinda hata kwa siraha utatekwa watakukuta kwenye mtaro maiti yako itatambulika kwa DNA...
Kwanini utishe watu ndg yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…