Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Kafulila: Kama kuna mtu au kampuni wameona kuna mradi serikali inauendesha kwa hasara na wana mbinu za kuifanya serikali na wao kupata faida waje

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896

====
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi Tanzània (PPP-Centred) Bw. David Kafulila ametoa wito kwa Sekta binafsi au watu binafsi wenye mitaji, teknolojia na utafiti kwenye mradi au miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya kiserikali wafike ofisini kwake kwaajili ya mazungumzo ya namna ya kuifanya miradi hiyo.

Mkurugenzi David Kafulila anasema ikiwa wadau hao wa maendeleo watakuwa wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara hizo na kuiendesha kwa faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPPC.

Mkurugenzi Kafulila ameyasema hayo alipohokiwa katika kituo cha runinga cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Mkurugenzi David Kafulila amesema Serikali na sekta binafsi wanaweza kufanya mradi wa Ubia na sekta binafsi kwa njia nne ambazo ni,

1. Solicited
2. Unsolicited


 
===
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3075737
Jambo jema kabisa hili
 
===
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3075737
Aende Bungeni na wampe Wizara anaweza kulisadia Taifa
 
Huyu Mheshimiwa ni hazina kubwa sana tena sana kwa Taifa letu ambaye kama Taifa tunapaswa kumtumia vizuri.Ni akili kubwa , ni mtu mwenye maono na uwezo mkubwa sana wa kiuongozi.anaelezea jambo na kulifafanua vizuri ambapo hata mtu mwenye elimu ndogo anakuwa na uwezo wa kumuelewa vizuri kabisa na kwa urahisi .
 
Huyu Mheshimiwa ni hazina kubwa sana tena sana kwa Taifa letu ambaye kama Taifa tunapaswa kumtumia vizuri.Ni akili kubwa , ni mtu mwenye maono na uwezo mkubwa sana wa kiuongozi.anaelezea jambo na kulifafanua vizuri ambapo hata mtu mwenye elimu ndogo anakuwa na uwezo wa kumuelewa vizuri kabisa na kwa urahisi .
Nilikuwa simkubali huyu jamaa hapo kabla
 
Nilikuwa simkubali huyu jamaa hapo kabla
Huyu jamaa ni kichwa sana na mwenye maarifa mengi sana kichwani mwake. Binafsi nina mkubali sana na nina kuunga mkono kabisa na kutamani kuona Mwakani akiingia Bungeni na ikimpendeza Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amteue Kuwa uwaziri.

Atafanya vizuri sana tena sana kwa sababu anao uwezo mzuri na uzoefu.mfano ametumikia Mikoani kama Katibu Tawala Songwe na RC Simiyu na sasa mkurugenzi wa PPP.kwa hiyo anayafahamu mazingira yote na uendeshaji wa serikali kuanzia ngazi za chini kabisa na hivyo atakuwa msaada na nguzo imara katika wizara atakayopewa.
 
Tumbili ovyo kabisa.
Yaani mradi wa serikali, serikali yenyewe haioni kama unaendeshwa kwa hasara, mimi mtu binafsi niione hiyo hasara halafu nikaishawishi serikali hiyo hiyo isiyoona kuna hasara kwenye hiyo miradi inipe mimi niendeshe kwa faida! Hiyo ni akili au matope?
 
Mimi ningemuona tumbili ana akili kubwa kama angefanya haya.

1. Atoe orodha ya miradi yote au kadhaa ya serikali inayoendeshwa kwa hasara.
2. Atangaze rasmi watu binafsi kuwa huru kuja kuwekeza kwenye hiyo miradi.
3. Atoe utaratibu wa wazi na haki kuja kushindana kupewa nafasi ya kuiendesha.
 
===
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3075737
Yupo serious?
 
===
Mkurugenzi Mkuu wa kituo Cha Ubia kati ya Serikali na Sekta binafsi ( PPP- Centred ) Bw David Kafulila ametoa wito kwa Sekta na watu binafsi wenye utafiti kwenye miradi yoyote ya Serikali kwenye ngazi yoyote ya Kiserikali na wamebaini Serikali inapoteza mapato na wao wako tayari kuisaidia Serikali kuepuka hasara na kupata faida kwaajili yao na kwa Serikali yao wanakaribishwa kwa majadiliano na PPP.

Kafulila ameyasema hayo katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media wakati akifafanua maana halisi ya UBIA, WABIA na aina zake.

Msikilize mpaka mwisho.
View attachment 3075737
Yupo serious?
 
Huyu jamaa ni kichwa sana na mwenye maarifa mengi sana kichwani mwake. Binafsi nina mkubali sana na nina kuunga mkono kabisa na kutamani kuona Mwakani akiingia Bungeni na ikimpendeza Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan amteue Kuwa uwaziri.

Atafanya vizuri sana tena sana kwa sababu anao uwezo mzuri na uzoefu.mfano ametumikia Mikoani kama Katibu Tawala Songwe na RC Simiyu na sasa mkurugenzi wa PPP.kwa hiyo anayafahamu mazingira yote na uendeshaji wa serikali kuanzia ngazi za chini kabisa na hivyo atakuwa msaada na nguzo imara katika wizara atakayopewa.View attachment 3075767View attachment 3075767
Hata wewe Lucas uko vizuri sijui kwanini hauonekani kwenye PDF za mama
 
Back
Top Bottom