Uchaguzi 2020 Kafulila katika mtihani wa kiapo cha ndoa, Je atamsaidia mkewe aliyeko CHADEMA katika kampeni?

Uchaguzi 2020 Kafulila katika mtihani wa kiapo cha ndoa, Je atamsaidia mkewe aliyeko CHADEMA katika kampeni?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Haya mambo huwa yana ugumu wake.

" Tutashirikiana na kusaidiana katika Shida na Raha hadi kifo kitakapotutenganisha"

Sasa sijaelewa hapa kada wa CCM David Kafulila aka tumbili kama ataizingatia ahadi hii ya uaminifu katika ndoa wakati mkewe Kishoa atakapopambana na kada maarufu tena daktari wa falsafa Mwigullu Nchemba wa CCM.

Nawatakia Dominica yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Hapa kuna mtihani rahisi sana! Njaa ya Kafulila ambayo iko kwenye ubongo, hawezi kumpigia kampeni mke wake! Ila kwenye sanduku la kura atampa Mke wake
Kafilila sio mpiga kura wa iramba magharibi
 
Wakati mwingine unaweza kumuunga mkono mwanandoa bila kupanda jukwaani. Dk. Lilian ulishawahi kumuona anamnadi Mbowe? Mke wa Salum Mwalimu ushamuona kwenye kampeni?
 
Wakati mwingine unaweza kumuunga mkono mwanandoa bila kupanda jukwaani. Dk. Lilian ulishawahi kumuona anamnadi Mbowe? Mke wa Salum Mwalimu ushamuona kwenye kampeni?
Wewe ujamuona Salum Mwalimu alivyoenda kumpigania mkewe kwenye kinyang'anyiro cha kanda?
 
Back
Top Bottom