Uchaguzi 2020 Kafulila katika mtihani wa kiapo cha ndoa, Je atamsaidia mkewe aliyeko CHADEMA katika kampeni?

Uchaguzi 2020 Kafulila katika mtihani wa kiapo cha ndoa, Je atamsaidia mkewe aliyeko CHADEMA katika kampeni?

Kuna watu wanadhani kila mwanachama wa Ccm ni kada wa ccm

Hao ni wa kupuuzwa tu na kuhurumiwa, wala Kafulila sio mwanachama... aliteuliwa moja kwa moja na akaapishwa kuilinda katiba na sio chama.
 
Kuna watu wanadhani kila mwanachama wa Ccm ni kada wa ccm
Na kuna watu wanadhani kuwa CCM miaka mingi ndio ukada, wanaumizwa sana na Shonza, Prof Kitila, Waitara na Dr Mollel!

Siasa siyo dini!
 
Hao ni wa kupuuzwa tu na kuhurumiwa, wala Kafulila sio mwanachama... aliteuliwa moja kwa moja na akaapishwa kuilinda katiba na sio chama.
Kama Kafulila siyo mwanachama aligombeaje ubunge kule CCM?

Vijana hii alkasusu inawaharibu ubongo.

Vijana wa UVCCM wamejaa majungu wakikua watakuwa wachawi by Mrisho Gambo!
 
Kama Kafulila siyo mwanachama aligombeaje ubunge kule CCM?

Vijana hii alkasusu inawaharibu ubongo.

Vijana wa UVCCM wamejaa majungu wakikua watakuwa wachawi by Mrisho Gambo!

Siku akikosa ulaji huko ndo utaijua vema rangi yake!
 
Hivi tunajadili kuhusu yule "ngedere mwitu" wa bunge? Atabaki anatawaza watoto tu. Ila ole wake atongoze "hausigero" atatupiwa misulupwete yake arudi Kumshindwi kutengeneza kayoga. 😂😂😂😂😂
 
Kama Kafulila siyo mwanachama aligombeaje ubunge kule CCM?

Vijana hii alkasusu inawaharibu ubongo.

Vijana wa UVCCM wamejaa majungu wakikua watakuwa wachawi by Mrisho Gambo!
Mbatizaji umewageuka UV wenzako??

Anyway kuhusu kafulila ni kuwa atakuwa 75% kwa jesca in term of kumpa moyo,mbinuu atapiga sana promo kwa fake Id ili kujipendekeza kwa mama na rasilimali fedha ikibidi maana akipata jesca ulaji utakuwa wa familia lakini mchana na kwenye mitandao hasa kwa officially accepted atampa pro jiwe kinafiki huku akingojea uteuzi

Akikosa uteuzi at first four rounds za uRc,uDC ,ubalozi na Ukatibu atamrudia mama Tanzania
Trust me namjua sana kafulila hana haya atahama sana
Note saivi na jesca wapo kutunziana heshima ila kafulila kashuka value
 
Mbatizaji umewageuka UV wenzako??

Anyway kuhusu kafulila ni kuwa atakuwa 75% kwa jesca in term of kumpa moyo,mbinuu atapiga sana promo kwa fake Id ili kujipendekeza kwa mama na rasilimali fedha ikibidi maana akipata jesca ulaji utakuwa wa familia lakini mchana na kwenye mitandao hasa kwa officially accepted atampa pro jiwe kinafiki huku akingojea uteuzi

Akikosa uteuzi at first four rounds za uRc,uDC ,ubalozi na Ukatibu atamrudia mama Tanzania
Trust me namjua sana kafulila hana haya atahama sana
Note saivi na jesca wapo kutunziana heshima ila kafulila kashuka value
Duh!

Nimekuelewa bwashee!
 
Alipokosa Ubunge aliosha vyombo sana Nyumbani mpaka Magufuli alipomuona na uRAS,
 
Back
Top Bottom