Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Siku tukiuzwa ndiyo tutatambua jinsi Moody walivyotuchuuza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo source ya taarifa ni kafulila ? Agencies zipo nyingi , hii agency iliyo ifanyia tathmini Tanzania ni ipi ? Na je ina aminika kwa kiwango gani ?
Hapana, Tanzania tuko vizuri sana mkuuSiku tukiuzwa ndiyo tutatambua jinsi Moody walivyotuchuuza.
Sawa ukichoka kusimama ukaeNasimama na Rais Samia
Ovaaa
Tunaweza kubishana sana lakini Rais Samia anachapa kazi kwelikweliSawa ukichoka kusimama ukae
Kafulila hapo sawa ila hayo mengine unayajua weweTunaweza kubishana sana lakini Rais Samia anachapa kazi kwelikweli
Angeendelea kubaki chadema (kama wewe) hizo nondo zake wala tusingeziona wala kuzisikia.Mimi ni CHADEMA lakini nampenda sana Kafulila hapa Kigoma achague jimbo lolote tutampatia tu
Asante Mwandishi" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Wewe ni jembe sana mkuu.Ukiona Mimi CM 1774858 nimekuletea habari amini kuwa ni habari ya Kizalendo na imetolewa na Mzalendo Kizalendo.
#SAMIA MITANO TENA
Soma andiko vizuri kila kitu kimeelezwa na mwandishi.Kwa hiyo source ya taarifa ni kafulila ? Agencies zipo nyingi , hii agency iliyo ifanyia tathmini Tanzania ni ipi ? Na je ina aminika kwa kiwango gani?
Tanzania is categorized by the US State Department as a Country/Jurisdiction of Primary Concern in respect of Money Laundering and Financial Crimes." Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Politician?Kafulila anatufanya tuzidi kuipenda Serikali ya CCM na Rais Samia, To me Kafulila is my best Politician of the Year.
Nadhani huyu Bezecky amepotoka,Politician?
Kazi anayofanya ni siasa?
Dah
Kajitahidi ila kuna watu wachache awatoe sio wazuriTunaweza kubishana sana lakini Rais Samia anachapa kazi kwelikweli
Kafulila ni fundi sana hata hivyo lazima tukubali hivyo" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Kafulila Mungu akubariki sanaaa" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Awamu ya Sita iko vizuri sana Mungu atubariki Watanzania kwa kumpata Samia" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.
Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.
Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,
Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"
Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.
Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.
Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,
Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.
Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.
Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "
Nakubaliana na wewe Kafulila ni jembe sana sio akina Zitto na urangi mbili waoUkiona Mimi CM 1774858 nimekuletea habari amini kuwa ni habari ya Kizalendo na imetolewa na Mzalendo Kizalendo.
#SAMIA MITANO TENA