Pre GE2025 Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

Pre GE2025 Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi ni CHADEMA lakini nampenda sana Kafulila hapa Kigoma achague jimbo lolote tutampatia tu
Angeendelea kubaki chadema (kama wewe) hizo nondo zake wala tusingeziona wala kuzisikia.
Tumpe maua yake kwa kuamua kwenda kuungana na Mzalendo (rip) kwa lengo la kuitumikia nchi yetu.
Nb: Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Asante Mwandishi
 
Kwa hiyo source ya taarifa ni kafulila ? Agencies zipo nyingi , hii agency iliyo ifanyia tathmini Tanzania ni ipi ? Na je ina aminika kwa kiwango gani?
Soma andiko vizuri kila kitu kimeelezwa na mwandishi.
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Tanzania is categorized by the US State Department as a Country/Jurisdiction of Primary Concern in respect of Money Laundering and Financial Crimes.
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Kafulila ni fundi sana hata hivyo lazima tukubali hivyo
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Kafulila Mungu akubariki sanaaa
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Awamu ya Sita iko vizuri sana Mungu atubariki Watanzania kwa kumpata Samia
 
Back
Top Bottom