Pre GE2025 Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maana yake ni kwamba,Tanzania ilikua Hapo awali haikopokopi hivyo,baada ya kuanza kukopa sana tena kwa fujo ilibidi tufanyiwe uhakiki/kuangalia namna madeni wetu ulivyo.
Ila kwa bahati nzuri wenzetu wamekopa kuliko sisi.

Endeleeni kusifia ujinga.
 
Maana yake ni kwamba,Tanzania ilikua Hapo awali haikopokopi hivyo,baada ya kuanza kukopa sana tena kwa fujo ilibidi tufanyiwe uhakiki/kuangalia namna madeni wetu ulivyo.
Ila kwa bahati nzuri wenzetu wamekopa kuliko sisi.

Endeleeni kusifia ujinga.
🤣🤣🤣
 
Siku tukiuzwa ndiyo tutatambua jinsi Moody walivyotuchuuza.
Acha mawazo yako ya kijima.Taufa letu na nchi yetu ipo katika hali nzuri ya kiuchumi na ndio maana Inaendelea kufanya vyema katika vipimo vyote vya kimahesabu katika kupima uchumi wetu.
 
Awamu ya Sita iko vizuri sana Mungu atubariki Watanzania kwa kumpata Samia
Kwa hakika awamu ya sita inastahili pongezi sana kwa namna ilivyofanya kazi kubwa ya kukuza uchumi wetu ndani ya muda mfupi, katikati ya uchumi mbaya ya Duniani uliotikiswa na mambo mbalimbali lakini Rais wetu na serikali yake ameleta nuru na mwanga katikati ya Giza lankiuchumt Duniani kwote.
 
Kafulila anatufanya tuzidi kuipenda Serikali ya CCM na Rais Samia, To me Kafulila is my best Politician of the Year.
Kwa hakika Mheshimiwa David Kafulila Anaendelea kuitendea haki sana nafasi yake kwa kuisemea vyema sana serikali yetu ya Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan, hususani katika masuala ya uchumi na fedha na masuala mengine mbalimbali.
 
Hongera sana Tanzania
 
Maana yake ni kwamba,Tanzania ilikua Hapo awali haikopokopi hivyo,baada ya kuanza kukopa sana tena kwa fujo ilibidi tufanyiwe uhakiki/kuangalia namna madeni wetu ulivyo.
Ila kwa bahati nzuri wenzetu wamekopa kuliko sisi.

Endeleeni kusifia ujinga.
Credit rating ni screening ya wateja wote wa Mikopo walio serious wanaokopa kwenye taasisi Serious.

Credit rating ndio itakufanya iendelee kukopa au uache kukopa.

Ova!
 
Sahihi kabisa crde Uchumi umekua kwelikweli, Mungu ambariki sana Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…