===
Akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds Media Group Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPP -Centre David Zacharia Kafulila alikuwa na haya ya kusema ;-
"Tafiti zilizofanyika zilionesha kwamba mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya miundombinu itakayohitajika mwaka 2050 yaani miaka 35 baadae,
Ukitazama mwenendo wa uchumi wa Tanzània wa sasa utagundua kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya ule wa Afrika kusini ya leo ndani ya miaka 25 ijayo.
Kujenga Uchumi zaidi ya Africa ya Kusini ya leo ni jambo ambalo kama tukitumia Kodi na Mikopo pekee hatutaweza kulifikia na hii ndio sababu muhimu ya kutumia PPP ili kufikia matarajio na matamanio haya makubwa ya Watanzania ifikapo mwaka 2050.
David Kafulila anaendelea kwa kusema, " Tunachakata kupata mwekezaji serious wa kujenga barabara ya kisasa ya kulipia kutoka Kibaha- Chalinze mpaka Morogoro.
Jambo la uhakika ni kuwa wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa Reli na treni mpya za SGR bado mahitaji ya usafiri na usafirishaji yataendelea kuwa ni makubwa kila wakati kutokana na ukubwa wa uchumi wa Tanzània unaojengwa chini ya Rais Samia na Chama chake Cha Mapinduzi CCM.
Mhhhhh......!!!! Kwanza najiuliza kwanini hii PPP iliundwa kama taasisi, ilifaa kuwa kuwa chini ya Tanzania Investment Centre kama kitengo. Haya mambo ya kafulia siyaelewagi. Huyu ndugu yake na Kibu hachelewi kutuingiza sokoni
Akihojiwa katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Cetre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka2050.
Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.
Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha- Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa .
Akihojiwa katika kituo Cha runinga Cha Clouds Media Group Mkurugenzi wa PPP -Cetre Bw David Kafulila alikuwa na haya ya kusema "Tafiti zilionesha mwaka 2015 mahitaji ya miundombinu yaliyokuwepo mwaka 2015 yalijitosheleza kwa asilimia 30% tu ya mahitaji ya mwaka2050.
Ukitazama mwenendo wa uchumi unaona kwamba Tanzania itahitaji kujenga uchumi mkubwa zaidi ya Afrika kusini ya leo ndani ya miaka25. Hii inaokuonesha umuhimu wa kutumia PPP kufikia matarajio makubwa.
Tunachakata kupata mwekezaji kujenga barabara ya kisasa ya kulipia Kibaha- Chalinze mpaka Morogoro, wawekezaji wanajua pamoja na uwepo wa SGR ya kisasa bado mahitaji ya usafiri yataendelea kuwa makubwa kutokana na ukubwa wa uchumi unaojengwa .
Shida yako ni chuki na kukosa maarifa, majina ya kibatu yanafanana sana na siyo kigezo cha kukataa utanzania wq kafulila. Fatilia majina ya Watanzania wengi wanaotoka mikoa ya mipakani utagundua majina mengi yanapatikana nchi nyingine pia na hiyo siyo sababu ya kutilia shaka utanzania wao.
Nenda Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kagera, Rukwa, Kigoma, Mtwara, Mwanza, Tanga (mpakani na Mombasa) n.k utagundua hilo na utajidharau. Mwisho wa siku tafuta hela upunguze wivu.
Shida yako ni chuki na kukosa maarifa, majina ya kibatu yanafanana sana na siyo kigezo cha kukataa utanzania wq kafulila. Fatilia majina ya Watanzania wengi wanaotoka mikoa ya mipakani utagundua majina mengi yanapatikana nchi nyingine pia na hiyo siyo sababu ya kutilia shaka utanzania wao.
Nenda Arusha, Kilimanjaro, Manyara, Kagera, Rukwa, Kigoma, Mtwara, Mwanza, Tanga (mpakani na Mombasa) n.k utagundua hilo na utajidharau. Mwisho wa siku tafuta hela upunguze wivu.
Kuna majina ni hatarishi kwa nchi hiyo mikoa mingine yote umetaja kasoro mkoa mmoja majina yao hata yaingiliane hayana shida
Sababu ni mipaka salama haizalishi wakimbizi wakorofi au watu wakorofi wenye silaha ni mipaka peaceful lakini sio hao wenye majina ya Nkunda watoka huko wataka kujipenyeza ikulu au kuwa karibu na Raisi jirani sana iwezekanavyo
Hapana.Bila shaka yeyote unaijua vizuri mipaka mikorofi kwa usalama wa Tanzania inayozalisha wakimbizi wakorofi na wasio raia Huko kwingine peace Usilinganishe ni vitu viwili tofauti kabisa kama mbingu na nchi
Kuna majina ni hatarishi kwa nchi hiyo mikoa mingine yote umetaja kasoro mkoa mmoja majina yao hata yaingiliane hayana shida
Sababu ni mipaka salama haizalishi wakimbizi wakorofi au watu wakorofi wenye silaha ni mipaka peaceful lakini sio hao wenye majina ya Nkunda watoka huko wataka kujipenyeza ikulu au kuwa karibu na Raisi jirani sana iwezekanavyo
Hapana.Bila shaka yeyote unaijua vizuri mipaka mikorofi kwa usalama wa Tanzania inayozalisha wakimbizi wakorofi na wasio raia Huko kwingine peace Usilinganishe ni vitu viwili tofauti kabisa kama mbingu na nchi
Kwahiyo huko kwingine wakitoa Rais asiye raia ni sawa tu ila siyo Kigoma!? Una chuki mno na bikashaka una maisha magumu Mangi, tafuta pesa...kuwachukia waliokuzidi maisha hakukufanyi ufanikiwe.
Kwahiyo huko kwingine wakitoa Rais asiye raia ni sawa tu ila siyo Kigoma!? Una chuki mno na bikashaka una maisha magumu Mangi, tafuta pesa...kuwachukia waliokuzidi maisha hakukufanyi ufanikiwe.
Huko kwingine wanajitambua sana na hutii sheria bila shuruti
Watu waungwana sana sio wababe baby na dharau kama kwingine.Sio rahisi mgeni akapenya kufikia uraisi kutoka huko kwingine
Kigoma mtu aweza shika ila Vetting yake sio ya kitoto imekakamaa hasa
Mbona Phillip Mpango ni makamu wa Raisi na anatokea Kigoma
Raisi kutoka kigoma Yawazekana ila Vetting yake kali kuliko kwingine